Msaada wa Haraka kuhusu Hedhi tafadhali

Kanizi

Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
38
Reaction score
6
Kuto Pata Hedhi Kwa Mwanamke Kwa Kipindi Cha Miezi 3 Ni Kawaida Toka Kujifungua? Tujuze Tafadhar Wenye Uzoefu Tutokwe Na Hofu.
 
Ni kawaida mkuu. Wengine inafika mpaka miezi 6.
 
Na kwa ambaye hanyonyeshi hali hiyo ikimtokea inasababishwa na nini?

amenorrhea/kukosa hedhi husababishwa na vitu vingi...Ila ikumbukwekwe kwamba wanawake wengine wakijifungua kwa shida au wakipoteza watoto wanaweza kupewa dawa za kujikinga na mimba/contraception ili kuwapa nafasi kupumzika
inaweza kuwa magonjwa,ikawa stress ikawa hapati chakula vizuri etc
hivo hii issue haiko specific ila mwanamke kama hanyonyeshi exclusively within 12weeks inabidi apate menses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…