MSAADA WA HARAKA KUHUSU MIMBA

MSAADA WA HARAKA KUHUSU MIMBA

Habar wataalamu naomba mnisaidie kitu nmesex na msichana tarehe 25/10/2023 baadae tukaanza sumbuana tukaachana baadae akanambia anamimba yangu sikuweza kataa mimba ili akijifungua ndo nijue matarajio ya hospitali ikawa kujifungua n wiki za mwanzon mwa mwezi wa saba lakini cha kushangaza kajifungua mwezi wa sita wiki za mwanzoni na mimba kwenye kadi ya kliniki inaonesha ilikuwa na week 36

Msaada n halali kuwa hii mimba n yangu au Kuna namna nahitaji msaada.

Note: Kulea sio shida cuz hadi sasa sjaweza kataa cuz baba angu hakuwahi nikataa lakini nachohitaji n kujua tu ili nisije leta Damu isio yetu kwenye ukoo[emoji120]
changa la macho
 
Unamuonaje mtoto? Kaelekea upande upi, wako au wake?

Kutoka 25/10 mpaka 15/06, wiki 36 ni uongo uongo hivi!

Tumia busara yako kuamua....yako mwenyewe!
 
Kama it's her first pregnancy. mimba sio yako. kama ni 2nd or 3rd may be. ila still weight and GA ndo vitaa amua. kama sio pre mature sio wako.

2# ukiingia na wasi wasi sio wako

lastly
chukua kadi sema tarehe we help you
 
How to calculate EDD.
Ongeza siku saba kweny hyo tarehe 25 alaf toa 3 kwenye hyo mwez wa 10.
ITakuja 32,maana yake n kwamba ingewezekana kujifungua tarehe 2 mwez wa 8.
Lakn uamuzi ni wako, sisi ni wqzee wa ramli chonganishi
 
Habar wataalamu naomba mnisaidie kitu nmesex na msichana tarehe 25/10/2023 baadae tukaanza sumbuana tukaachana baadae akanambia anamimba yangu sikuweza kataa mimba ili akijifungua ndo nijue matarajio ya hospitali ikawa kujifungua n wiki za mwanzon mwa mwezi wa saba lakini cha kushangaza kajifungua mwezi wa sita wiki za mwanzoni na mimba kwenye kadi ya kliniki inaonesha ilikuwa na week 36

Msaada n halali kuwa hii mimba n yangu au Kuna namna nahitaji msaada.

Note: Kulea sio shida cuz hadi sasa sjaweza kataa cuz baba angu hakuwahi nikataa lakini nachohitaji n kujua tu ili nisije leta Damu isio yetu kwenye ukoo[emoji120]
Kujua kama ni damu yako ni njia rahisi sana.
Mchukue huyo mama watoto wenu, uende kwenu mkasalimie ukaonane na mama yako, baba yako, shangazi zako, wajomba na dada zako. Huko jibu utalipata km mtoto ni wako au la
 
Kachume majani pori yoyote pondaponda weka maji muite mzazi mwenzio mwambie umepewa dawa toka kwenu ukimpaka mtoto kama siyo wako atakufa papo hapo.
Nayeye ataota uyoga sehemu za siri. Usisahau kunipa marejesho.
 
Kachume majani pori yoyote pondaponda weka maji muite mzazi mwenzio mwambie umepewa dawa toka kwenu ukimpaka mtoto kama siyo wako atakufa papo hapo.
Nayeye ataota uyoga sehemu za siri. Usisahau kunipa marejesho.
Acha utani wewe..... hahaha nimecheka sana
 
Kachume majani pori yoyote pondaponda weka maji muite mzazi mwenzio mwambie umepewa dawa toka kwenu ukimpaka mtoto kama siyo wako atakufa papo hapo.
Nayeye ataota uyoga sehemu za siri. Usisahau kunipa marejesho.
Hekima za Suleiman hizi 🤣
 
Back
Top Bottom