changa la machoHabar wataalamu naomba mnisaidie kitu nmesex na msichana tarehe 25/10/2023 baadae tukaanza sumbuana tukaachana baadae akanambia anamimba yangu sikuweza kataa mimba ili akijifungua ndo nijue matarajio ya hospitali ikawa kujifungua n wiki za mwanzon mwa mwezi wa saba lakini cha kushangaza kajifungua mwezi wa sita wiki za mwanzoni na mimba kwenye kadi ya kliniki inaonesha ilikuwa na week 36
Msaada n halali kuwa hii mimba n yangu au Kuna namna nahitaji msaada.
Note: Kulea sio shida cuz hadi sasa sjaweza kataa cuz baba angu hakuwahi nikataa lakini nachohitaji n kujua tu ili nisije leta Damu isio yetu kwenye ukoo[emoji120]
Acha kuwachonganisha wapenzi waaminifu.changa la macho
Kujua kama ni damu yako ni njia rahisi sana.Habar wataalamu naomba mnisaidie kitu nmesex na msichana tarehe 25/10/2023 baadae tukaanza sumbuana tukaachana baadae akanambia anamimba yangu sikuweza kataa mimba ili akijifungua ndo nijue matarajio ya hospitali ikawa kujifungua n wiki za mwanzon mwa mwezi wa saba lakini cha kushangaza kajifungua mwezi wa sita wiki za mwanzoni na mimba kwenye kadi ya kliniki inaonesha ilikuwa na week 36
Msaada n halali kuwa hii mimba n yangu au Kuna namna nahitaji msaada.
Note: Kulea sio shida cuz hadi sasa sjaweza kataa cuz baba angu hakuwahi nikataa lakini nachohitaji n kujua tu ili nisije leta Damu isio yetu kwenye ukoo[emoji120]
Acha utani wewe..... hahaha nimecheka sanaKachume majani pori yoyote pondaponda weka maji muite mzazi mwenzio mwambie umepewa dawa toka kwenu ukimpaka mtoto kama siyo wako atakufa papo hapo.
Nayeye ataota uyoga sehemu za siri. Usisahau kunipa marejesho.
Hekima za Suleiman hizi 🤣Kachume majani pori yoyote pondaponda weka maji muite mzazi mwenzio mwambie umepewa dawa toka kwenu ukimpaka mtoto kama siyo wako atakufa papo hapo.
Nayeye ataota uyoga sehemu za siri. Usisahau kunipa marejesho.