Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 332
- 549
Habari zenu Wakuu.
Mwanangu amezaliwa wakati mama yake akiwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini,alipangiwa amnyonyeshe kwa muda wa miezi 6 bila kumpatia maji wala chakula chochote mpaka miezi hiyo 6.
Leo amebakisha wiki 2 kutimiza miezi 6.lakini leo nimemkuta mama yangu anampa maji ya machungwa.(yeye hajui kuhusu hali ya mke wangu na mipango ya kumnusuru mtoto)
Sasa nimepata wasiwasi kwa sababu nampenda mwanangu nimeona nije hapa niulize madaktari mnisaidie nawaomba
1.je kulishwa maji ya machungwa akiwa amebakisha wiki mbili kabla ya kutimiza miez 6 inaweza mletea matatizo yoyote?
Naomba mnisaidie wakuu
Mwanangu amezaliwa wakati mama yake akiwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini,alipangiwa amnyonyeshe kwa muda wa miezi 6 bila kumpatia maji wala chakula chochote mpaka miezi hiyo 6.
Leo amebakisha wiki 2 kutimiza miezi 6.lakini leo nimemkuta mama yangu anampa maji ya machungwa.(yeye hajui kuhusu hali ya mke wangu na mipango ya kumnusuru mtoto)
Sasa nimepata wasiwasi kwa sababu nampenda mwanangu nimeona nije hapa niulize madaktari mnisaidie nawaomba
1.je kulishwa maji ya machungwa akiwa amebakisha wiki mbili kabla ya kutimiza miez 6 inaweza mletea matatizo yoyote?
Naomba mnisaidie wakuu