Kawahi hospital wakupe ile pep wanaita nazani.Mtu kung'atwa na Muathirika wa Ukimwi anapaswa kuchukua hatua gani ili asipate maambukizi..!!??
Sidhani kama hiyo ni njia ya kuambukiza ukimwiMtu kung'atwa na Muathirika wa Ukimwi anapaswa kuchukua hatua gani ili asipate maambukizi..!!??
Kama toka ung'atwe upo masaa 72.Kawahi hospital wakupe ile pep wanaita nazani.
Ni mzazi wake mkuu...Sidhani kama hiyo ni njia ya kuambukiza ukimwi
Alafu ulimjuaje kama ana ukimwi.wakati ukimwi ni kama hela kila mtu hana
Marekebisho kidogo..Mtu kung'atwa na Muathirika wa Ukimwi anapaswa kuchukua hatua gani ili asipate maambukizi..!!??
Sahamani kwa kutumia neno ila nimejifunza na asante kwa ushauri mkuu..!!Marekebisho kidogo..
Neno Muathirika linapaswa kukemewa.. Ni vema tukatumia "mtu anayeishi na maambukizi ya VVU"..
Immediate actions
1. Safisha na maji mengi na sabuni ila usisugue wala kukamua
2. Kama upo ndani ya masaa 72 nenda hospital ukapewe Post Exposure Prophylaxis
Mmh! Sijakusoma mkuuUnaathirika kisiasa kama ulivyoathirika.
Vidonge vya nini kama wamegundua hana maambukizi?Sahamani kwa kutumia neno ila nimejifunza na asante kwa ushauri mkuu..!!
Ila nimempeleka Hospital wamempima VVU na kubaini hana maambukizi yoyote na kisha kupewa Vidonge vya ARV atumie kwa mwezi mmoja na dawa za kutuliza maumivu..!!!
Huyo baba mjinga sanaNi mzazi wake mkuu...
Kulitokea ugomvi kati ya Baba na Mwenza wake, kijana alipotaka kuamua ugomvi Baba akamng'ata mwanae kidole gumba..!!!
Asante. This is a proper management. Ni vema akatumia PEP cz kupima exposure ni ngumu sana. Mtu anaweza akasema risk ni ndogo haina haja ya kumeza PEP but you never know.Sahamani kwa kutumia neno ila nimejifunza na asante kwa ushauri mkuu..!!
Ila nimempeleka Hospital wamempima VVU na kubaini hana maambukizi yoyote na kisha kupewa Vidonge vya ARV atumie kwa mwezi mmoja na dawa za kutuliza maumivu..!!!
Hapo sawa. Inatakiwa apimwe akikutwa hana ndio wanampa vidonge vyakuzuia HIV vinaitwa Post Exposure Prophylaxis kwa mwezi mzima vinakuw kama kinga yake. Kama angekutwa nao wasinge mpa vidonge vya kinga. Wangemuanzishia ARV moja kwa moja maana ni muathirika tiali.Sahamani kwa kutumia neno ila nimejifunza na asante kwa ushauri mkuu..!!
Ila nimempeleka Hospital wamempima VVU na kubaini hana maambukizi yoyote na kisha kupewa Vidonge vya ARV atumie kwa mwezi mmoja na dawa za kutuliza maumivu..!!!
Muathirika❌Hapo sawa. Inatakiwa apimwe akikutwa hana ndio wanampa vidonge vyakuzuia HIV vinaitwa Post Exposure Prophylaxis kwa mwezi mzima vinakuw kama kinga yake. Kama angekutwa nao wasinge mpa vidonge vya kinga. Wangemuanzishia ARV moja kwa moja maana ni muathirika tiali.
Asante kwa ushauri mzuuri mkuu...Asante. This is a proper management. Ni vema akatumia PEP cz kupima exposure ni ngumu sana. Mtu anaweza akasema risk ni ndogo haina haja ya kumeza PEP but you never know.
Nashauri avumilie, ameze. Zitamsumbua sana mwanzoni, mwambie avumilie asiache.