Bishara mchomvu
Member
- Apr 3, 2013
- 53
- 0
Jaman ndugu zangu wana Jf. Mie nilifanya mtiani wangu wa kidato cha 6 mwaka jana (2012)! xaxa nataka nikajaze form ya TCU niombe chuo. , guide-book inaonyesha kwamba mwf. achague program zizizozozidi 5 na zisipungue 3! sasa je, inakubalika kujaza vyuo 5 af prog. 1 @ chuo? au ni mbili mbili then moja kwa vyuo vitatu? Au ni prg. 3 then 2 kwa vyuo 2?? Mie apo xielewi vizuli! ila mie nimeandaa vyuo 4 ambapo chuo 1 kina prg. 2 af ivyo vingine 3 ni program mojamoja !!!! Af swali lingine ni je,, inakubalika kujaza prg. moja kwa vyuo vyote ulivyochagua? yan prg. moja irudiwe kwa kila chuo au zinatakiwa ziwe tofauti? nielewesheni jamani ili nikajaze form yangu ya TCU vizuli.