Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Habari wakuu,
Nahitaji kuhamisha kitita cha dollar 1.5 kutoka NMB Chap Chap Account kwenda Prepaid Account.
Sijawahi kutumia NMB Mkononi japokuwa nimeunganishwa kupitia Vodacom
Nifuate hatua zipi wakuu?
Nina 200 as normal balance kwenye vodacom kwa maana ya nikikosea mara mbili imekula kwangu
Makato yanaweza fika kiasi gani kuhamisha.
Ila kikubwa hatua za kuhamisha.
Nawasilisha.
Kumbuka: Account namba ya Prepaid ina hadi herufi ndani
Nahitaji kuhamisha kitita cha dollar 1.5 kutoka NMB Chap Chap Account kwenda Prepaid Account.
Sijawahi kutumia NMB Mkononi japokuwa nimeunganishwa kupitia Vodacom
Nifuate hatua zipi wakuu?
Nina 200 as normal balance kwenye vodacom kwa maana ya nikikosea mara mbili imekula kwangu
Makato yanaweza fika kiasi gani kuhamisha.
Ila kikubwa hatua za kuhamisha.
Nawasilisha.
Kumbuka: Account namba ya Prepaid ina hadi herufi ndani