Boko halal
Senior Member
- May 14, 2014
- 175
- 124
Kuna mama mjane amenifuata akiniomba nimsaidie kesi yake ambayo amefunguliwa baraza la ardhi la kata.
Kesi yenyewe ipo hivi mme wake ambae ni marehemu kwa sasa (miaka 20 tangu afariki)alikuwa na wanawake wawili yaani yeye na mke mkubwa, mme wake aligawa mali kipindi akiwa hai, ikiwemo mashamba kwa kila mke.
Sasa watoto wa mke mkubwa wanataka mashamba ya mke mdogo, wamefungua shauri baraza la kata, limeanza kusikilikzwa, yule mama amejaribu kujitetea hasa kutumia sheria ile ukomo wa miaka 12 lakini wajumbe wale wamekataa na kuendelea kusikiliza shauri hilo (ni kama mlungula umepita).
Naomba msaada huyu mama afanye ili hii kesi isiendelee kusikilizwa baraza la ardhi la kata ambao tayari wameonesha dalili za upendeleo.
Kesi yenyewe ipo hivi mme wake ambae ni marehemu kwa sasa (miaka 20 tangu afariki)alikuwa na wanawake wawili yaani yeye na mke mkubwa, mme wake aligawa mali kipindi akiwa hai, ikiwemo mashamba kwa kila mke.
Sasa watoto wa mke mkubwa wanataka mashamba ya mke mdogo, wamefungua shauri baraza la kata, limeanza kusikilikzwa, yule mama amejaribu kujitetea hasa kutumia sheria ile ukomo wa miaka 12 lakini wajumbe wale wamekataa na kuendelea kusikiliza shauri hilo (ni kama mlungula umepita).
Naomba msaada huyu mama afanye ili hii kesi isiendelee kusikilizwa baraza la ardhi la kata ambao tayari wameonesha dalili za upendeleo.