Inatatiza SANA...yaani hawashambulii magugu wala mapori, na msimu wa kilimo ukiisha wanapotea...Kinachonishangaza na hao wadudu kuacha nyasi na Majani yote yale polininna kuvamia mashamba yetu, mie Miche yangu ya minyanya wameishambukia kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah!!!,hao wadudu ni very selective.Kinachonishangaza na hao wadudu kuacha nyasi na Majani yote yale polininna kuvamia mashamba yetu, mie Miche yangu ya minyanya wameishambukia kweli
Sent using Jamii Forums mobile app