MSAADA WA HARAKA:maumivu ya nyuma ya mabega mpaka katikati ya mgongo kwa ndani

MSAADA WA HARAKA:maumivu ya nyuma ya mabega mpaka katikati ya mgongo kwa ndani

Baba mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
280
Reaction score
40
Habari wa kuu naomba kuuliza na kama mtu anajua dawa ya haya maumivu ya kuanzia mabegan kwa nyuma na kwa ndani anisaidie mana panauma sana na nimejaribu dawa kama omoprazole lakini hakuna mana wengine walidai ni vidonda vya tumbo sasa sijaelewa bado tatizo ni lipi mwenye uelewa kwenye hili anisaidie
 
mbavu sina!!! wana JF tutauwana sasa! mtu yko siriasi anaumwa wewe unampa ushauri kama huo kweli ni haki!!!!

Inawezekana ukamsaidia kwani yaonekana hospitali wameshindwa, JF inampa "street healing".
 
Inawezekana ukamsaidia kwani yaonekana hospitali wameshindwa, JF inampa "street healing".

Kizaizai uwe na heshima kwani we ni mtu mzima sasa,hizo street healing uwe unazitolea walau ushuhuda usi
je vunja watu.
 
Back
Top Bottom