Mr muhuni
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 1,298
- 1,266
Nahitaji msaada wa haraka Sana
Mguu wangu wa kulia Kuna maumivivu nayapata makali sana yalianza siku3 zimepita ila leo usiku sijalala kabisa maumivi yamekuwa makali mno Tena Sana nimeshindwa kulala kabisa,
ila Jana na juzi yalikuwa ya kawaida mno naweza kutembea vizur
ila nikiamka asubuhi nashidwa kutembea vizur yaan nachechemea kidogo kama dk 3-5 yanapungua, na kikikaa kwa mda mrefu nikinyanyuka ghafla nishindwa kutembea vizur ila kuanzia Jana jion yamekuwa makali mno Tena sana Mguu unauma hatari Sana ata kuamka sitaki kwa kwel kama leo nimelala style moja tuu kuugeuza siwez kabisa
please ndugu zangu nisaidie maumivu yako juu ya paja kabisa kama picha inavyoonyesha
Mguu wangu wa kulia Kuna maumivivu nayapata makali sana yalianza siku3 zimepita ila leo usiku sijalala kabisa maumivi yamekuwa makali mno Tena Sana nimeshindwa kulala kabisa,
ila Jana na juzi yalikuwa ya kawaida mno naweza kutembea vizur
ila nikiamka asubuhi nashidwa kutembea vizur yaan nachechemea kidogo kama dk 3-5 yanapungua, na kikikaa kwa mda mrefu nikinyanyuka ghafla nishindwa kutembea vizur ila kuanzia Jana jion yamekuwa makali mno Tena sana Mguu unauma hatari Sana ata kuamka sitaki kwa kwel kama leo nimelala style moja tuu kuugeuza siwez kabisa
please ndugu zangu nisaidie maumivu yako juu ya paja kabisa kama picha inavyoonyesha