Msaada wa haraka -mke wa mpangaji wangu anataka nizae nae,abaki na kumbukumbu yangu.

Zubed mchuzi, sikujua kama shemale wana uwezo wa kumimba. I will be more careful, mphhhh.
 
nyie raia mbona mnakariri sana,Post alieandika ni mimi,
We ushaona wap kike kwa kike wanapeana mimba.
Nasema.Mi Male
 
zubedayo...Male
 
Itakua ngumu kupata michango ya ukweli,unless umetoa maelezo ya kutosha kuhusu id yako!
 
huyo mama ana ngoma! Au humuoni alivyo.....anataka kukudakisha wewe na mkeo! Shauri yako.
 
Tamaaa za mwili zitakupoza wewe kijana, kwani ana nini kinachoweza kuhatarisha maisha yako usipo zini naye? acha uoga mwache atembee na hamisini zake na wewe na zako. ujue mke wa mtu sumu!
 
Ndio mkome kutafutia wachumba humu JF!!! Mtu ID yake ina jina la kike but ni mwanaume! LOL!!! Tabia za ki-cameron huanza hivi hivi...then mwishowe unatoga masikio na kuvaa wigi kabisa!!!!
kwani we zubeda jike dume? mbona mnatuchanganya humu JF? mi nilijua zubeda ni mwali kumbe .....au umeandika hili bandiko ukimuwakilisha mtu mwingine? fafanua tafwazali!!!!
 
Sasa mbona jina lako ni la 'Ke? Anyway, ushauri wangu ni huu. Nomba kufahamu kama huyo mpaji wako ana mtoto au watoto wengine. Kama hana ujue anamfichia siri mume wake maana bunduki ina risasi za maji; hivyo, kiubidamu toa huo msaada. LAKINI KUMBUKA KWENDA NAYE ANGAZA KABLA YA HUO UFIRAUNI. Aidha, kama wana mtoto/watoto epuka hiyo kitu matokeo yake sio mazuri, inawezekana baada ya kumpa mimba atakulazimisha kufanya kitendo kingine maana tayari atakuwa amekufunga. Akikulazimisha kujengea nyumba au kumpatia mtaji wa biashara kwa masharti ya kutunza siri?. Lakini kumbuka mla vya wenzike na vyake huliwa.
 
huyo mama unatembea nae. haiwezekani from no where akutamkie hayo maneno mazito, mke wa mtu sumu. acha hiyo tabia. akamtamtafute xb wake. anakuambia wewe kama nani?mia
 
Kwa hiyo we Zebuda(yo) ni kiwanda cha mimba?
 
..kama lengo la huyo mama ni kumfichia SIRI mmewe tafadhari mpe DUDU..bt ikatokea tayari ana watoto/mtoto nakwambia kuna cku utakuja utafunwe MATUTA yako hadi ukome,mke wa m2 sumu,eti ataenda mbali!!!..THUBUTU ukitoa copy yako tu mmewe atakujia,c ajabu na mie nkaalikwa kwenye shughuli nakuambia UTAJUTA KUJIFANYA KIDUME KWA WAKE ZA WATU..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…