Nyabhakangala
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 841
- 793
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Niende moja kwa moja bila kupoteza muda,
Ni wiki sasa imepita toka niondoke nyumbani baada ya kurudi toka kwenye mihangaiko yangu, nimekutana na taarifa ambazo sio nzuri kuna mtoto wa miaka 9 ambae nilikuwa naishi naye nyumbani kwangu alikuwa anacheza na wenzake.
Kama michezo ya kitoto mnavoijua wakawa wanajipikilisha kama watoto wenzie wanavodai so akawa amemeza unga wa chupa iliyokuwa imesagwa lakini yeye akakaa kimya hakumwambia hata mama yake kwasababu mama yake pia ni mtu wa mishemishe hakai nyumbani, sasa nimerudi ndo watoto wenzie wananiambia hizi habari.
Sasa wakuu naomba kujua;
1-Huduma ya kwanza kwa mtu wa dizaini hii ni ipi?
2-Chupa ikiingia mwilini inachukua muda gani ilikuleta madhara
3-Inaleta madhara gani mwilini.
Naomba kufahamu kwa sasa nipo kwenye usafiri naenda hospitali ili nione kama nitapata msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja bila kupoteza muda,
Ni wiki sasa imepita toka niondoke nyumbani baada ya kurudi toka kwenye mihangaiko yangu, nimekutana na taarifa ambazo sio nzuri kuna mtoto wa miaka 9 ambae nilikuwa naishi naye nyumbani kwangu alikuwa anacheza na wenzake.
Kama michezo ya kitoto mnavoijua wakawa wanajipikilisha kama watoto wenzie wanavodai so akawa amemeza unga wa chupa iliyokuwa imesagwa lakini yeye akakaa kimya hakumwambia hata mama yake kwasababu mama yake pia ni mtu wa mishemishe hakai nyumbani, sasa nimerudi ndo watoto wenzie wananiambia hizi habari.
Sasa wakuu naomba kujua;
1-Huduma ya kwanza kwa mtu wa dizaini hii ni ipi?
2-Chupa ikiingia mwilini inachukua muda gani ilikuleta madhara
3-Inaleta madhara gani mwilini.
Naomba kufahamu kwa sasa nipo kwenye usafiri naenda hospitali ili nione kama nitapata msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app