ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Wakubwa naombeni msaada wenu.
Kaam kichwa chahabari kinavyojieleza, nimejaribu kuedit kwenye academic qualifications lakini naona vyeti vyangu bado viko vile vile, nimepiga simu huduma kwa wateja ile ya mkononi na ya mezani kwa AJIRA PORTAL ila hawapokei simu zangu zaidi yakumaliza dakika zangu bila kupata msaada wowote ule.
Nabaki naumia sana kuona ajira inanipita na lengo lakutaka kuondoa vyeti hivyo ni kwa sababu nataka niweke vyeti ambavyo vimedhibitishwa na Mwanasheria, hivyo ndugu zanguni naombeni mnisaidie , maana naona kama nimekwama.
Kaam kichwa chahabari kinavyojieleza, nimejaribu kuedit kwenye academic qualifications lakini naona vyeti vyangu bado viko vile vile, nimepiga simu huduma kwa wateja ile ya mkononi na ya mezani kwa AJIRA PORTAL ila hawapokei simu zangu zaidi yakumaliza dakika zangu bila kupata msaada wowote ule.
Nabaki naumia sana kuona ajira inanipita na lengo lakutaka kuondoa vyeti hivyo ni kwa sababu nataka niweke vyeti ambavyo vimedhibitishwa na Mwanasheria, hivyo ndugu zanguni naombeni mnisaidie , maana naona kama nimekwama.