Msaada wa haraka please, mke wa mtu anakufa hukuu

Malizia basi uniambie na mie.



Kama aliwekeza vya kutosha yeye aondoke tuu sasa, hayo ndo maisha aloyachagua
Dada nimeshindwa mm kumalizia kila ninavyojitahidi bado tu labda akija espy anaweza malizia atatuambia
 
upo serious kama sina mchango nisi comment niambie live ili nisi comment chochote [HASHTAG]#member[/HASHTAG] from kolomije
 
Duh..!
Aliyeelewa atachangia.,mimi hiyo lugha hata sijaielewa labda sababu mimi bado mgeni humu jukwaani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ukitaka watu wasepe andika maneno yasiyoisha kama haya tena maandishi makubwa kuliko maelezo thead kwa ajili ya wenye matatizo ya kusoma... dah...
 
Kajifunze kuandika kiswahili kwanza....nimeacha mbali sana baada ya kuona sielewi
 
Huyo mjasiriamali inabidi amwone shigongo si haba anaweza kupata Mawazo mazuri sana ya kuimarisha biashara yake na pia atapata suluhu ya mkasa wake
hahahhahah

aisee ndefu sana yaan nimeishia ana line nyingine aliyemalizia ataniambia yaan
 
kila ninavyojitahidi kusoma na usingizi ndio unazidi nimeipotezea.

wanawake watauelewa zaidi huu uzi.

naona tu KICHWA PANZI, BISIBISI, MSUMENO, KISODA nilijitahidi kusoma nikajua nitakutana na BASHITE
 
Anataka msaada wa nini wakati aliyataka mwenyewe?

BTW uongo hujitenga na ukweli ma mficha maradhi kifo humuumbua, the best way ni kumuambia ukweli mumewe ili asije kuumia huko mbeleni
 
Anataka msaada wa nini wakati aliyataka mwenyewe?

BTW uongo hujitenga na ukweli ma mficha maradhi kifo humuumbua, the best way ni kumuambia ukweli mumewe ili asije kuumia huko mbeleni
 
haaa!!! yaan hii yote nisome mimi..!!!!
hapana bora niitwe bashite ila sio kusoma kitabu kizima..!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…