Msaada wa haraka please

Joined
Oct 9, 2013
Posts
9
Reaction score
10
salaam zenu wakuu humu ndani.naombeni msaada wenu juu ya ni muda gani toka chuo kifungue kama hujaripoti hautakubaliwa kujiunga na chuo?nauliza sababu nilichaguliwa st francis this year but kutokana na loan kuzingua bado sijaenda.ila bodi imetukumbuka xo naweza kwenda chuo na kukubaliwa coz ni mwezi sasa toka chuo kifungue,:A S 39:
 
Nakumbuka nilireport chuo tarehe 16.11 wakati chuo chetu kilifunguliwa tarehe 22.09.
Haina taabu sana ukienda unawaambia umechelewa kwa kuwa hukuweza kupata ada kwa wakati.
 
vipi kuhusu vipindi ulivyochelewa na inakuwaje ukifika na kukuta wamefanya na baadh ya mitihan?
 
Tafuta Namba Za Chuo hcho afu fanya communication nao kabla hujaenda coz unaweza poteza nauli bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…