ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Vp uki log in katika Home - Central Admission System (CAS) na hapa inazingua kwenye issue ya ku confirm
umeniacha njia panda kasahau pasword za email eg gmail or yahoo au alizotumiwa na nacte pindi alipojisajili.Kama niza nacte ni rahisi kuzipata kwenye email yake funguka tukusaidie
Bwana Rasokauzu au Omary sikufichi wewe ni binadamu mwenzangu jana umeniponza.Umenidanganya nimekutumia detail za mwanangu za Nacte kupitia namba yako 0766273528 matokeo yake umemdelete mwanangu umemweka mwingine.Si mbaya ndiyo dunia nalifuatilia jambo hilo.MUNGU WANGU ATANIPIGANIA.
Asee kama kweli kakufanyia hivi . Huyu mtu wa aina gani asiye na huruma jamani yani mtu badala ya kusaidia anakuzidishia matatizo
..
Hata hivyo rizki hagawi yeye mwanao rizk yake ipo kama kawaida