Msaada wa haraka, polisi wamechukua vitu wanadai risiti

Msaada wa haraka, polisi wamechukua vitu wanadai risiti

Homesickness

Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
10
Reaction score
8
Jamani polisi wamechukua vitu vya ndugu yangu na wanadai apeleke risiti vitu hivo vimenunuliwa mda sana naomba kwa wazoefu wa sheria au aliyewahi tokewa na tukio kama ili alifanyaje had akavipata vitu vyenyewe ni pamoja na; monitor,subwoofer,na deki... NB vyote havina risiti lakin ni mali halali kabisa nisafanyee nn ili niweze msaidia huyu mtu.......
Nawasilisha
 
Jaribu kuelezea vizuri upate msaada sahihi;

1. Vitu vimechukuliwa na polisi vikiwa safarini (yaani katika harakati za kuhamishwa sehemu kwenda nyingine) au vilikuwepo tu nyumbani kwake na polisi wakaja kuvichukua?

2. Pia mmehoji kwasababu gani vitu ivyo vimechukuliwa?
 
Yeye ni fundi simu sasa inaonekana aliwahi nkununua simu kumbe mtu alie muuzia kaiba so akachukuliwa kwa kosa la kununua mali ya wizi (alichukuliwa asubuh) mchana karudi na askar ndo wakachukua hivo vitu sasa wakadai risiti ya hivo vtu jamaa hana
 
Wanataka risiti zile zinazotolewa ATM zenye rangi nyekundu. Hakuna kitu hapo. Polisi huwa wanatumia kila fursa kupata hela ya supu ukizingatia usawa huu....... We tafuta hela vitu vyako utapewa tu viginevyo hakuna namna vitakaa kituoni weee mwishowe ni kuondoka kimoja kimoja.
 
Zile risit za EFD machine zikikaa muda mrefu huwa zinfutika kabisa ni kama ilivyo risit za ATM. Tafuta risit za EFD zilizofutika zipeleke kwmb ndio zilizotumika kununulia hivyo na kwa kuwa zimekaa muda mrefu zimefutika.
 
Back
Top Bottom