Msaada wa haraka: Sababu ya kuku kudonoana

Lihove2

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
3,545
Reaction score
6,512
Wakuu habari zenu

Nina tatizo la kuku kudonoana sana.hali ni mbaya wanadonoana kiasi napoeza kuku wengi kwa vifo baada ya kudonolewa zenyewe kwa zenyewe

kuku wana umri wa miezi miwili ni kuku wa chotara.

Niliambiwa ni upungufu wa madini ninewapata hayo madini lakini wapi.wengine waliniambia ni chakula kidogo nimewaongezea chakula lakini bado hakuna mabadiliko

Natanguliza shukrani
 
Madini mjomba, kuna madini wanakosa hasa chuma.
 
Madini kanunie choka na madini ya chuma kama Ni kuku wa banda
 
Wape hayo madini halafu mda mwingi baada ya chakula wape vitu vitavyofanya wawe bize kudoa mfano mbogamboga wataaacha mkuu!
Manake ukizubaa wakaendelea itakua ndo tabia na wote Watakuwa vipofu
 
Wape hayo madini halafu mda mwingi baada ya chakula wape vitu vitavyofanya wawe bize kudoa mfano mbogamboga wataaacha mkuu!
Manake ukizubaa wakaendelea itakua ndo tabia na wote Watakuwa vipofu

Asante sana mkuu kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…