steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Wakuu habari za mida hii.
Niende moja kwa moja kwenye hoja,kuna jamaa wangu wa karibu sana anataka kuagizia gari Japan kupitia kampuni tajwa hapo juu. Katika kuwasiliana nao wakamtumia invoice isiyo na component ya insurance,yaani badala ya CIF wametumia C&F. Akawauliza endapo meli itadumbukia baharini kwa bahati baya si ndio itakuwa imekula kwake?
Wakamjibu hiyo haina shida na aendelee tu na mchakato wa kuagiza na pia wakamwambia kwamba siku hizi kwa wateja wa Tanzania wanatakiwa wailipie hiyo insurance kupitia kampuni ya Bima ya Tanzania na ikitokea shida yoyote wao ndio watakaocover ajali.
Sasa akaniulizia mimi kuhusu huo ukweli nikawa sijui lolote lile,ndio nikaamua na mimi nililete humu hili suala kwa kuwa penye wengi hapaharibiki jambo. Je ni kweli akiagizia hakuna shida yoyote.
Naombeni majibu tafadhali.
Nawasilisha.
Niende moja kwa moja kwenye hoja,kuna jamaa wangu wa karibu sana anataka kuagizia gari Japan kupitia kampuni tajwa hapo juu. Katika kuwasiliana nao wakamtumia invoice isiyo na component ya insurance,yaani badala ya CIF wametumia C&F. Akawauliza endapo meli itadumbukia baharini kwa bahati baya si ndio itakuwa imekula kwake?
Wakamjibu hiyo haina shida na aendelee tu na mchakato wa kuagiza na pia wakamwambia kwamba siku hizi kwa wateja wa Tanzania wanatakiwa wailipie hiyo insurance kupitia kampuni ya Bima ya Tanzania na ikitokea shida yoyote wao ndio watakaocover ajali.
Sasa akaniulizia mimi kuhusu huo ukweli nikawa sijui lolote lile,ndio nikaamua na mimi nililete humu hili suala kwa kuwa penye wengi hapaharibiki jambo. Je ni kweli akiagizia hakuna shida yoyote.
Naombeni majibu tafadhali.
Nawasilisha.