Sokulu Mkombe
Senior Member
- Oct 31, 2018
- 126
- 167
Natumaiani hamjambo wana JF
Nina ndugu yangu Umri ni 50+ anasumbuliwa na tatizo la matiti kupata maumivu makali ya kujirudia rudia hasa upande kushoto yanayopelekea uvimbe, na hujihisi joto pindi yanapoanza kuuma.
Maumivu hujirudia baada ya muda (Mf wiki 1 au 2). Ni tatizo la muda mrefu kidogo takriban miaka mitatu kwa mujibu wa mgonjwa.
Historia ya MATIBABU
1. Ametibiwa (Pima) wilayani Ugonjwa haukuonekana
2. Muda huu nipo nae Hospitali ya Rufaa kanda MBEYA na tumepima vipimo vifuatavyo na havijaonyesha kitu ( Hawaoni ugonjwa)
- Mammography
- Ustasound
Amepewa Dawa (BRUSTAN) na ameambiwa arudi tena kupima baada ya mwaka.
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nini?
Najiuliza ataishi vipi ndani ya huo muda ikiwa tatizo bado halijapatiwa ufumbuzi na bado anaumwa.
Natanguliza shukrani
Nina ndugu yangu Umri ni 50+ anasumbuliwa na tatizo la matiti kupata maumivu makali ya kujirudia rudia hasa upande kushoto yanayopelekea uvimbe, na hujihisi joto pindi yanapoanza kuuma.
Maumivu hujirudia baada ya muda (Mf wiki 1 au 2). Ni tatizo la muda mrefu kidogo takriban miaka mitatu kwa mujibu wa mgonjwa.
Historia ya MATIBABU
1. Ametibiwa (Pima) wilayani Ugonjwa haukuonekana
2. Muda huu nipo nae Hospitali ya Rufaa kanda MBEYA na tumepima vipimo vifuatavyo na havijaonyesha kitu ( Hawaoni ugonjwa)
- Mammography
- Ustasound
Amepewa Dawa (BRUSTAN) na ameambiwa arudi tena kupima baada ya mwaka.
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nini?
Najiuliza ataishi vipi ndani ya huo muda ikiwa tatizo bado halijapatiwa ufumbuzi na bado anaumwa.
Natanguliza shukrani