Hivi wanajamii mbona wagumu hivi huelewa, mtu anaumwa unakimbilia humu kuomba ushauri badala ya kumpeleka hospital, hebu tubadilike kwanza tuwapeleke wagonjwa hospital ikishindikana ndio tuje tuombe ushauri. Mwenyezi mungu amfanyie wepesi apone haraha mgonjwa wako.