Msaada wa haraka tafadhli...jino linanitesa

Malikauli

Senior Member
Joined
Mar 3, 2012
Posts
148
Reaction score
114
Za jumapili waungwana?

Toka usiku leo nateswa na jino balaa,sijalala.asubuhi na maprma nimezunguka hospitals Agakhan, TMJ, Mhimbili, Regency ,Hindu mandal na Palestina.kote nimeambiwa dentist hakuna mpaka kesho.hapa nabugia antipains sioni nafuu.chonde chonde mwenye namba ya simu ya dentist yeyote anayeweza kuwa kazini leo niPM...natanguliza shukrani
 
mkuu jaribu pale mwananyamala kituoni kuna jamaa ni wazuri na huwa wapo hadi jumapili
 
Mwananyamala ipi boss wangu nikimbie hapo
 
Mkojo wako ni dawa tosha ukimwagia kwenye hilo jino, jaribu utanishukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…