Habari zenu wadau wa JF.Miye ni mmojawapo katika list ambayo imetolewa na TCU ili nirudie kuappy chuo, Hii ni baada ya vyuo nilivyoappy mara ya kwanza aidha nilikosa vigezo au kuwa na watu wengi. Hivyo ninaomba ushauri, ninataka kuappy 'BACHELOR IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION'. Sijajua kama programme hii ni marketable? { ishu za ajira} .Mwenye ushauri wowote wadau. NATANGULIZA SHUKRANI!