Kuna rafiki yangu maisha yake yalikua mazuri sana alikua mjasiriamali mzuri amepata hela za kutosha.
kwa bahati mbaya miezi kama 4 nyuma alivamiwa na majambazi wakampora kiasi kikubwa cha hela
alikua anataka kusafiri kwenda njee kununua mzigo.
Wakati anaugulia maumivu ya kuibiwa Duka lake moja likaungua moto 4 weeks ago. sasa kijana wa watu
amechanganyikiwa anahisi kama dunia imemgeuka anataka kuhama mjii akakae kusikojulikana anata kuuza nyumba
Ahamie sehemu ingine probably ataaweza kuanza upya. Kuna mkopo wa 12m anadaiwa bank anahisi bank watakuja kuuza nyumba yake
Nimejitahidi kumshauri imkua ngumu. Nimemuomba niandike habari yake hapa bila kumtaja kwa jina then yeye afuatilie ushauri wenu hapa amekubali hivyo tumsaidiaje?
wenu
kwa bahati mbaya miezi kama 4 nyuma alivamiwa na majambazi wakampora kiasi kikubwa cha hela
alikua anataka kusafiri kwenda njee kununua mzigo.
Wakati anaugulia maumivu ya kuibiwa Duka lake moja likaungua moto 4 weeks ago. sasa kijana wa watu
amechanganyikiwa anahisi kama dunia imemgeuka anataka kuhama mjii akakae kusikojulikana anata kuuza nyumba
Ahamie sehemu ingine probably ataaweza kuanza upya. Kuna mkopo wa 12m anadaiwa bank anahisi bank watakuja kuuza nyumba yake
Nimejitahidi kumshauri imkua ngumu. Nimemuomba niandike habari yake hapa bila kumtaja kwa jina then yeye afuatilie ushauri wenu hapa amekubali hivyo tumsaidiaje?
wenu