chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Habari wanaSheria
Naomba msaada juu ya watoto walionyimwa fursa za kusoma baada ya mzazi mmoja ambaye ni baba kumtelekeza mama na watoto lakini alipopatikana mfadhili wa kuwasaidia hawa watoto kielimu ndugu wa wazazi wamekataa hilo na ninavyoandika huu uzi watoto wameachishwa shule kutokana na fitina za ndugu.
Mama na watoto imebidi wahame mji kurejea kijijini baada ya fitna za ndugu.
Msaada tafadhali hata ushauri. mawasiliano kwa watakaoweza saidia hili n.k
Naomba msaada juu ya watoto walionyimwa fursa za kusoma baada ya mzazi mmoja ambaye ni baba kumtelekeza mama na watoto lakini alipopatikana mfadhili wa kuwasaidia hawa watoto kielimu ndugu wa wazazi wamekataa hilo na ninavyoandika huu uzi watoto wameachishwa shule kutokana na fitina za ndugu.
Mama na watoto imebidi wahame mji kurejea kijijini baada ya fitna za ndugu.
Msaada tafadhali hata ushauri. mawasiliano kwa watakaoweza saidia hili n.k