Pole mkuu. Kama hujapata msaada bado, agha khan napaamini sana kwa emergency. Hakuna dili wala kujuana, ukifika nenda straight casuality, dr hata kama yupo harusini atakuja na keki mkononi.
All the best, tatizo sio la kutisha akipata dawa sahihi hutakumbuka tena hii shida.