Msaada wa haraka wadau wa urembo na utanashati

Msaada wa haraka wadau wa urembo na utanashati

macho yangu

Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
51
Reaction score
26
Wiki ijayo nina harusi wadau, nataka kuutoa au kuupunguza ule weusi wa kunyoa ndevu mashavuni na shingoni kwa njia za asili maana "scrub" za kizungu za viwandani hazinisaidi wakuu na mimi nataka nitokelezee kidogo simnajua harusi kupendeza jamani.
 
Mkuu naomba maelekezo jinsi ya kuitengeneza na kuitumia.
Andaa chombo kwa ajili ya mchanganyiko baada ya hapo weka baking soda kijiko cha chakula ikifuatiwa na vijiko 2/3 vya limao
Subiri dakika kama 2 ndio utumie
 
Chaputa wanazo srub mkuu nenda wakupe amboni nzima ukujipakae

Don't mind me
 
Wiki ijayo nina harusi wadau, nataka kuutoa au kuupunguza ule weusi wa kunyoa ndevu mashavuni na shingoni kwa njia za asili maana "scrub" za kizungu za viwandani hazinisaidi wakuu na mimi nataka nitokelezee kidogo simnajua harusi kupendeza jamani.
Mimi ni mbobezi ktk mambo haya ya urembo na utanashati kwa njia za asili.Naomba niende kwenye mada pasipo kupoteza muda.
Chukua mkojo wako wa asbh kwenye chupa.Chukua na mavi mabichi ya kuku.Sugua sehemu husika kwa yale mavi mabichi ya kuku then unasafisha kwa mkojo.
Fanya hivyo kutwa mara Tatu kwa siku Tatu tu matokeo mazuri utayaona kisha njoo toa mrejesho hapa.
 
Mimi ni mbobezi ktk mambo haya ya urembo na utanashati kwa njia za asili.Naomba niende kwenye mada pasipo kupoteza muda.
Chukua mkojo wako wa asbh kwenye chupa.Chukua na mavi mabichi ya kuku.Sugua sehemu husika kwa yale mavi mabichi ya kuku then unasafisha kwa mkojo.
Fanya hivyo kutwa mara Tatu kwa siku Tatu tu matokeo mazuri utayaona kisha njoo toa mrejesho hapa.
Aisee
 
Back
Top Bottom