Msaada wa haraka wadau

Msaada wa haraka wadau

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,495
Reaction score
5,025
Mdogo wangu amekwama stend ya magu (Mbezi)akitokea bukoba anakuja Nachingwea .Gari nyingi zimemuacha na hajui afanye nini kwani anauhitaji wa kufika kusini leo hii na ni mgeni sana anaogopa kwenda kijichi (mfukoni pia kabakiwa na 40k).

Mbadala wake nimemwambia abeti kwa tashrif ya kutoka Tanga, ila kama kuna mdau una private car na unaelekea kusini leo hii na ikifaa mida hii naomba msaada .Tutachangia pesa ya mafuta mdogo wangu aweze kutoka hapo.

Kwa yeyote tuwasiliane nione namna gani naokoa hili jahazi.
 
Mdogo wangu amekwama stend ya magu akitokea bukoba anakuja Nachingwea .Gari nyingi zimemuacha na hajui afanye nini kwani anauhitaji...
Unaposema stendi ya Magu una maanisha stendi ya Wilayani Magu mkoa wa Mwanza au Stendi ya Magufuli, Mbezi jijini Dar.

Maana kwa uandishi wa kutaka afike Nachingwea leo nahisi utakuwa unamaanisha stendi ya Magufuli.

Cha kufanya.
Kuna basi zinatoka Morogoro kwenda kusini apande.
Kuna basi za kutoka Dodoma kwenda kusini apande.

Mbona issue ndogo tu hii
 
1673849224380.png

Kufeli kwa avatar
 
Mtu anataka asafiri bure. Unampandisha kwenye gari yako, kaka yake anakwambia nakuwekea pesa sasa hivi. Mnaanza safari, unafika Rufiji una stretch, unaangalia simu kama kuna lolote limeingia, unakuta dry. Unampigia jamaa, hapatikani.

Hiyo mbinu nilisha wahi kufanyiwa na memba humu pasaka ya mwaka jana, naenda mkoa.

Siku hizi mtu akiniambia atachanga mafuta, huwa nahesabu manyoya. Akichanga poa, asipo changa poa
Unaposema stendi ya Magu una maanisha stendi ya Wilayani Magu mkoa wa Mwanza au Stendi ya Magufuli, Mbezi jijini Dar.

Maana kwa uandishi wa kutaka afike Nachingwea leo nahisi utakuwa unamaanisha stendi ya Magufuli.

Cha kufanya.
Kuna basi zinatoka Morogoro kwenda kusini apande.
Kuna basi za kutoka Dodoma kwenda kusini apande.

Mbona issue ndogo tu hii
 
Unaposema stendi ya Magu una maanisha stendi ya Wilayani Magu mkoa wa Mwanza au Stendi ya Magufuli, Mbezi jijini Dar.

Maana kwa uandishi wa kutaka afike Nachingwea leo nahisi utakuwa unamaanisha stendi ya Magufuli.

Cha kufanya.
Kuna basi zinatoka Morogoro kwenda kusini apande.
Kuna basi za kutoka Dodoma kwenda kusini apande.

Mbona issue ndogo tu hii
Gari nyingi za dom kusini ni mtwara tu sheikhe
 
Mtu anataka asafiri bure. Unampandisha kwenye gari yako, kaka yake anakwambia nakuwekea pesa sasa hivi. Mnaanza safari, unafika Rufiji una stretch, unaangalia simu kama kuna lolote limeingia, unakuta dry. Unampigia jamaa, hapatikani.

Hiyo mbinu nilisha wahi kufanyiwa na memba humu pasaka ya mwaka jana, naenda mkoa.

Siku hizi mtu akiniambia atachanga mafuta, huwa nahesabu manyoya. Akichanga poa, asipo changa poa
Hela anayo mhusika sheikhe changamoto yake ni ugeni wa mji kwani alikua na altenative hii pia . MBEZI TO KARIAKOO , KISHA KARIAKOO KISEMVULE ANASHUKA MWANDEGE HAPO ANAPATA GARI ZA MACHANA ZA KUSINI MPKA ANAZIKIMBIA YEYE KAKA
 
Hela anayo mhusika sheikhe changamoto yake ni ugeni wa mji kwani alikua na altenative hii pia . MBEZI TO KARIAKOO , KISHA KARIAKOO KISEMVULE ANASHUKA MWANDEGE HAPO ANAPATA GARI ZA MACHANA ZA KUSINI MPKA ANAZIKIMBIA YEYE KAKA
Hela anayo mhusika sheikhe changamoto yake ni ugeni wa mji kwani alikua na altenative hii pia . MBEZI TO KARIAKOO , KISHA KARIAKOO KISEMVULE ANASHUKA MWANDEGE HAPO ANAPATA GARI ZA MACHANA ZA KUSINI MPKA ANAZIKIMBIA YEYE KAKA
Hela anayo mhusika sheikhe changamoto yake ni ugeni wa mji kwani alikua na altenative hii pia . MBEZI TO KARIAKOO , KISHA KARIAKOO KISEMVULE ANASHUKA MWANDEGE HAPO ANAPATA GARI ZA MACHANA ZA KUSINI MPKA ANAZIKIMBIA YEYE KAKA
Mbona hapo Magufuli basi za Mbagala zipo nyingi sana? Si mweleweshe tu
 
Mbona hapo Magufuli basi za Mbagala zipo nyingi sana? Si mweleweshe

Gari nyingi zimemuacha kivipi? Kwamba zimejaa, au nauli yake ndogo?
Gari nyingi za kuja nachingwea au masasi kwa kutokea mbezi ( stend ya magu hua ni za alfajiri 12) . Ila kwa kijichi na mwandege mda huh bado sana changamoto iliopo ni kua 40k akisema atoke apo aende mbagla plus mizigo alionayo meanz kua 38k ya nauli haitotimia na ndio mana nikaona niangalie msaada around au aanzie safari hapo kwani namjua kichwa maji mizunguko hio alone hatoboi na pia kwa wanaosema kusini gari ni nyingi ila ni Mkoa wa mtwara sasa mtu akipata gari ya mtwara now ni kua lazima ashuke mnazi mmoja ambako kuna kilmita zaidi ya 150 au zaidi sina uhakika kuifikia nachingwea.
 
Maning Nice ya Mtwara (T896DUY) ndio imeingia muda huu hapa Magufuli Terminal ikitoka Moro, aje apande ashukie Mnazi Mmoja pale atapata basi za Masasi, au asubiri Tashriff ya Tanga - Masasi inaingia sio muda mrefu
 

Attachments

  • IMG_20230116_092516_1.jpg
    IMG_20230116_092516_1.jpg
    689.9 KB · Views: 3
  • IMG_20230116_092705.jpg
    IMG_20230116_092705.jpg
    821.9 KB · Views: 3
Maning Nice ya Mtwara (T896DUY) ndio imeingia muda huu hapa Magufuli Terminal ikitoka Moro, aje apande ashukie Mnazi Mmoja pale atapata basi za Masasi, au asubiri Tashriff ya Tanga - Masasi inaingia sio muda mrefu
Kilangi masanja
 
Gari nyingi za kuja nachingwea au masasi kwa kutokea mbezi ( stend ya magu hua ni za alfajiri 12) . Ila kwa kijichi na mwandege mda huh bado sana changamoto iliopo ni kua 40k akisema atoke apo aende mbagla plus mizigo alionayo meanz kua 38k ya nauli haitotimia na ndio mana nikaona niangalie msaada around au aanzie safari hapo kwani namjua kichwa maji mizunguko hio alone hatoboi na pia kwa wanaosema kusini gari ni nyingi ila ni Mkoa wa mtwara sasa mtu akipata gari ya mtwara now ni kua lazima ashuke mnazi mmoja ambako kuna kilmita zaidi ya 150 au zaidi sina uhakika kuifikia nachingwea.
Ungemwambia aje apande hii Maning Nice ya Mtwara kimyakimya bila kukata tiketi, tiketi zinakaguliwa Temeke na Kijichi, ataamua yeye ashuke Temeke na kupanda basi za kusini au awaombe abla ya kupanda kuwa wamfikishe mpaka Mwandege ili apate basi za Nachingwea. Maning Nice ndio inang'oa saa hizi.
Mwambie aende kule slot zinakopaki basi za Mtwara kuna wadada wapo pale aombe wamsaidie, au akupigie simu akifika uongee nao wamsaidie
 
Yaani sajo sijui mnafeli wapi .Dar masasi38k . DAR LINDI 38K Dar ruangwa 38k .Dar tandahinba 38k Dar nachi 38k .meanz anapanda hapo anashukia mnazi 38k anatakiwa aende masasi almost 10k . Bado usiku masasi nachi 5k sasa mkuu hio hela si bora kama ipo alale aanze kesho tu route .Changamoto ya kusini haijalishi uko wapi kuna utofauti mkubwa wa kilomita ila nauli ni sawa . Mtu wa lindi mjini analipa sawa ja wa Nachingwea gape la zaidi ya 150k au kukaribia hapo .
Maning Nice ya Mtwara (T896DUY) ndio imeingia muda huu hapa Magufuli Terminal ikitoka Moro, aje apande ashukie Mnazi Mmoja pale atapata basi za Masasi, au asubiri Tashriff ya Tanga - Masasi inaingia sio muda mrefu
 
Back
Top Bottom