Msaada wa haraka wadau....

Msaada wa haraka wadau....

Marsy

Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
47
Reaction score
7
madokta wa jf naomba kujuzwa jambo hili,hivi endapo ktk mwezi mwanamke ukaenda period siku kama 6 hivi badala ya siku 4 za kawaida na mzunguko wako ni siku 28,Je siku za hatari zinasogea mbele au zabaki vilevile?Au mp imeanza tar 2/7 ikaenda siku 6 danger day itaanza tar 12 mpk 17 au itaanza tar 14 mpk 19?Nisaidieni katika hilo wadau tafadhari...
 
Nenda google ovulation calculator....hata tecno inakuonyesha...
 
Mzunguko kawaida utabaki vilevile...
Mara nyingi mzunguko hubadilika kwa baadhi ya wanawake kama watabadili mazingira (kusafiri), matumizi ya vidonge vya majira ya uzazi, wengine wakipata mshtuko au maambuki...
 
Back
Top Bottom