Msaada wa haraka wakuu kuhusu matumizi ya dawa hizi

Msaada wa haraka wakuu kuhusu matumizi ya dawa hizi

Mkuu rudi hsptl tu issue ya macho ni sensitive sn
ni kweli hiyo ni sahihi zaidi ila ninapoishi na muhimbili ambako alipatiwa matibabu ni mbali, ila humu nategemea kuna watu wa afya, lakini nitajaribu kwenda nikishindwa zaidi
 
hyo inazuia infection ya ulipofanyiwa upasuaj mkuu kwa hyo unaweka pale ulipofanyiwa matibab ukiweka inayeyuka yenyewe ndani ya mshono husika
 
shukrani, ubarikiwe
Aliyekupa hilo jibu sio doctor achana nae, nenda hata hospital ya jirani watakupa maelekezo, kupaka ndani ya Jicho is sensitive issue, not necessarily urudi mhimbili ,

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni ointment, wakati wa kuitumia muhusika anatakiwa kufungua jicho lake na kuminya kiasi kidogo. Then anaweza kupumzika kwa dkk kadhaa kwa kufumba macho ili dawa isambae vyema.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu dawa inawekwa ndani ya jicho.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Rahisi sana,rudi hospital hususani kwa aliyetoa dawa,pata maelekezo upya.
Vinginevyo muandae mgonjwa kuwa kipofu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom