Mimi nidereva wa kampuni nilioajiriwa..
Hufanyishwa Kazi nyingi tofauti na Kazi yangu ya udereva na kwamalipo Yale Yale...!!
Swali langu ni Jeh Sheria inambana vipi muekezaji kama Uyu...!!!?
ukiusoma vizuri mkataba wako wa kazi unaonyesha wazi kuwa utakua DEREVA na utafanya kazi ya udereva pamoja na kazi NYINGINE utakazopangiwa na Boss wako
ukiusoma vizuri mkataba wako wa kazi unaonyesha wazi kuwa utakua DEREVA na utafanya kazi ya udereva pamoja na kazi NYINGINE utakazopangiwa na Boss wako