JJ10
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 282
- 133
Habari za jumapili nduguzangu!
Kuna hali inatokea kwakichanga wangu ambayo sijawahi kuiona kwa watoto waliomtangulia!.
Nikwamba mtoto ni wakike na leo anatimiza siku ya tano'' sasa kitu kinachonitia hofu nikwamba huwa kuna mda akikojoa anavyobadilishwa vinguo kunakuwa na damu kwenye njia yake ya mkojo au ukeni!! Hii ni nini na inasabishwa na nini? Na nichukue hatua gani ili kuiepusha hiyo hali?
Msaada wenu tafadhali!
Asanteni!
Kuna hali inatokea kwakichanga wangu ambayo sijawahi kuiona kwa watoto waliomtangulia!.
Nikwamba mtoto ni wakike na leo anatimiza siku ya tano'' sasa kitu kinachonitia hofu nikwamba huwa kuna mda akikojoa anavyobadilishwa vinguo kunakuwa na damu kwenye njia yake ya mkojo au ukeni!! Hii ni nini na inasabishwa na nini? Na nichukue hatua gani ili kuiepusha hiyo hali?
Msaada wenu tafadhali!
Asanteni!