msaada wa haraka wanajamii,

Ka2pain

Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
97
Reaction score
26
katika kujaza form ya kuombea mkopo kuna kipengele cha index number nimekosea. nimeandika namba isiyo yangu. Naomba mnisaidie jinsi ya kulirekebisha hili tatizo nililonalo (jinsi ya kuandika namba yangu)
 
Natumia mtandao lakini page haipatikani, labda unisaidie kama kuna njia nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…