Msaada wa haraka

Msaada wa haraka

tandoor

Senior Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
170
Reaction score
128
Salaam wakuu
Mimi ni mjamzito wa miezi mitano,tatizo nililonalo nasumbuliwa na jino sana nadhani wengi tunajuwa jino jinsi gani linauma.
Sasa jana nkamwambia ndugu yangu fulani azimio langu la kwenda kulitoa,jibu alilionipa ni kwamba nisithubutu kutoa jino kwa hali hii nlookuwa nayo kwani itaniletea madhara makubwa,akanitolea na mfano kuhus ndugu yetu mmoja ambaye alipata shida mbalimbali na kuniambia3chanzo kikuu kilikuwa ni jino
Swali langu kwenu
Je ni kweli kuna hiyo situation?
'
 
kwani ni matatizo gani yalimpata huyo mtu.

harakaharaka kitaalamu kitu cha kuhofia ni maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye hiyo sehemu uliyong'oa jino kwani mama anapokuwa mjamzito kinga ya mwili hushuka sana hivyo uwezokano wa kupata maambukizi sehemu kaka hizo unakuwa ni mkubwa sana... sasa hapo ni kuangali kama unaweza kuvumilia hilo jino au kama hauwezi basi likang'olewe tu lakini ukiwa na tahadhari hiyo, so itahitajika usafi wa hali ya juu kinywani kuzuia uwezekano wa bakteria kufanya yao
 
Back
Top Bottom