Msaada wa haraka

Usiogope mpeleke hospital! Na yeye sio kichaa ni msongamano wa mawazo tu! Na uwe karibu naye asije akajidhuru au kumdhuru mtu mwingine...nenda sasa hivi! Mola akutangulie!
Sawa asante....kama ni msongo wa mawazo inabid apate psychologist au
 
Mpeleke hospital yeyote inaweza kuwa ni depression tu! Msongo wa mawazo! Akichomwa sindano ya kulala anaweza kuamka mzima kabisa!
kama ni chronic stress sindano itamsaidia?
 
mbona kimya madocta nisaidieni
Mkuu kama kuna hospital ya mkoa hapo Arusha(najua ipo),nenda ukapate Huduma hapo. Kuna watalaamu wa magonjwa ya akili hapo(psychotricist). Kama hawapo watakupa rufaa nadhani IPO pia hapo Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…