Habari ndugu zangu, mwenye mawasiliano ya malisa ,naomba anisaidie ,Kuna mtoto anachangamoto kubwa anahitaji msaada wa haraka,ni mlemavu
Mtoto yupo morogoro,Hana mguu mmoja, anatembelea gongo ,sasa anazidi kuumia ,anesimama hadi masomo haendi shule ,yupo darasa la nne, anaishi na babu na bibi yake tuOK wanakuja Ila Kama hautafanikiwa kuipata namba Kwa haraka , unaweza kusema mtoto yupo wapi Kwa sasa ili tuone Kama shida yako inaweza kutaturika Kwa hatua za mwanzo .
Chukua hizo namba huyo ni work mate wa Malisa GJMtoto yupo morogoro,Hana mguu mmoja, anatembelea gongo ,sasa anazidi kuumia ,anesimama hadi masomo haendi shule ,yupo darasa la nne, anaishi na babu na bibi yake tu
Nimejaribu sana kumtafuta huyu ,bila mafanikio,Chukua hizo namba huyo ni work mate wa Malisa GJ