Mtoto wangu ana miezi saba lakini kitovu hakijapona.Nilimpeleka hospitali,daktari akaniandikia dawa iitwayo SPAMCLOX na akanieleza nimkande mtoto kwenye kitovu kwa maji ya uvuguvugu yenye chumvi.Nimetumia dawa hiyo na maji hayo lakini mtoto hajapata nafuu.Naombeni msaada wenu nitumie dawa gani ili mtoto apone?