Msaada wa hatua za kufuata kuuza dhamana ya mdaiwa

Sunshow

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,140
Reaction score
395
Kama mtu amekopa kiasi flani cha hela na akaweka thamana kitu chochote kile na mkakubaliana kuwa arejeshe hela hiyo baada ya muda flani. Kama atashindwa kurejesha ndani ya muda mliowekeana, je ni hatua zipi zichukuliwe kuuza dhamana yake?
 
Wanasheria njooni mtoe ufafanuzi.
 
Wapi ruttashobolola?
 
Unampa notisi ya kusudio la kuuza halafu unauza. Lakini pia waweza kwenda mahakamani na kufungua kesi kuomba mahakama itoe amri ya kuuza. Kwa maelezo ya ziada tafuta elfu 20 nenda ofisi ya wakili lipa upewe ushauri kulingana na tatizo lako. Always remember, cheap is expensive. you seek cheap advice you are at your own peril.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…