Unampa notisi ya kusudio la kuuza halafu unauza. Lakini pia waweza kwenda mahakamani na kufungua kesi kuomba mahakama itoe amri ya kuuza. Kwa maelezo ya ziada tafuta elfu 20 nenda ofisi ya wakili lipa upewe ushauri kulingana na tatizo lako. Always remember, cheap is expensive. you seek cheap advice you are at your own peril.