kigogokizizi
Member
- Mar 26, 2016
- 69
- 37
Habari zenu wakuu,
Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara za matunda zikoje?...nahitaji msaada kwenu wajuvi.
Pamoja tunaweza.
Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara za matunda zikoje?...nahitaji msaada kwenu wajuvi.
Pamoja tunaweza.