kigogokizizi
Member
- Mar 26, 2016
- 69
- 37
Nashaur uwatafute AMAGRO au Natureripe Kilimanjaro watakusaidia kwa ushaur
Hongera Mkuu kwa kilimo cha Mapapai, kwan na mm nataka nilime mapapai si mda mrefu sana, mkuu naomba uni pm.Habari zenu wakuu,
Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara za matunda zikoje?...nahitaji msaada kwenu wajuvi.
Pamoja tunaweza.
Mkuu naomba mrejesho,vp mavuno na sokoni ilikuwajeHabari zenu wakuu,
Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara za matunda zikoje?...nahitaji msaada kwenu wajuvi.
Pamoja tunaweza.
Mkuu naomba mrejesho,vp mavuno na sokoni ilikuwaje
Habari zenu wakuu,
Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara za matunda zikoje?...nahitaji msaada kwenu wajuvi.
Pamoja tunaweza.