mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,458
- 471
Liweke vyema swala lako ili ueleweke, nini hasa unahitaji.wapi naweza kupata huduma ya Alipay hapa Tanzania
Uliza Equity BankTafadhali naomba msaada kwa mwenye uelewa,wapi naweza kupata huduma ya Alipay hapa Tanzania
Nlikuwa nataka kununua bidhaa China ila supplier anataka kulipwa kwa AlipayLiweke vyema swala lako ili ueleweke, nini hasa unahitaji.
Asante,ntafanya hivyoUliza Equity Bank
Asante sana MkuuAlipay ni mfumo wa malipo kama ilivyo Wechat payment au Paypal, ili kujiunga na au kuwa na account ya alipay inabidi utumie hati yako ya kusafirisha.
Huwezi kuwa account ya Alipay bila kuwa na Passport
Alipay ni mfumo wa malipo kutoka China
Unataka kununua kupitia platform ipi?Asante sana Mkuu
Alipay mkuuUnataka kununua kupitia platform ipi?
Je ni website ipi uliingia na kutafuta bidhaa ndio ukakutaqna na huyo muuzaji ?Nlikuwa nataka kununua bidhaa China ila supplier anataka kulipwa kwa Alipay
I mean uliingia website gani kununua hiyo bidhaa?Alipay mkuu
Supplier nlimpata kwa njia nyingine ila anataka kulipwa kwa AlipayI mean uliingia website gani kununua hiyo bidhaa?
Sawa mkuuSupplier nlimpata kwa njia nyingine ila anataka kulipwa kwa Alipay
Naomba msaada wakoIkiwa unataka kulipa kwa alipay nitafute
Muombe qr code ya kulipia then nitakupa thamani ya uuan 1 kwa sasa then nikulipie