Young Gwahe
Member
- Sep 3, 2017
- 53
- 163
Nina vipele vidogo vidogo kama vya joto, haviwashi, pia vina weupe kwa mbali huu ni ugonjwa gani na tiba Yake ni nn?? Naomba msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupiamo kapicha basi tuone (joking).Nina vipele vidogo vidogo kama vya joto, haviwashi, pia vina weupe kwa mbali huu ni ugonjwa gani na tiba Yake ni nn?? Naomba msaada
Ni alej inatokana na chakula au mafuta unayopataNina vipele vidogo vidogo kama vya joto, haviwashi, pia vina weupe kwa mbali huu ni ugonjwa gani na tiba Yake ni nn?? Naomba msaada
Mikononi na mgongoni sehemu ya mabegani, pia kifuanisehemu gani?