alitegemea atatamkiwa neno ndoa, huyu binti nadhani alitegemea future na x wake kwa bahati mbaya akatendwa, anacheza kwa step sasa hv.
Dawa ya kuuchuna ni kumpotezea, tafuta kinanda hapo maeneo mnapoishi kula nacho good time kwa full kujiachia, kama ana nia nawe atajileta mwenyewe na kama hakupendi basi ataingia mitini moja kwa moja!
Gonjwa la moyo hilo kama hana mtindio wa ubongo (step down immediately) tena mshukuru Mungu you never know!
....... alianza kunibadilikia simu akawa hapigi tena,messeg hatumi tena na mawasiliano kapunguza kabisa ila sikujua zaidi problem ni nini mpaka baada ya kusikia kwa rafiki yangu ndio nikajua..Pia nilivyomuona yupo vile nilimuuliza whats wrong lakini akasema ohh hamna kitu.Sasa mimi nikamuomba msamaha kwa sababu kwanza nampenda na ametulia sana nikawambia kwamba nipo tayari kuwa na wewe bila hicho kitendo ila naona mwenzangu bado kama hahitaji mawasiliano na mimi na hata nikimtumia messeg hata 15 kwa siku basi atajibu 2 au 1 na ukiangalia hapo anasimu ya contract sasa wadau mnanishauri vipi??Niachie ngazi pamoja nitaumia au nimshaurije mwenzangu aweze kurudi katika hali ya kawaida kama zamani?Maana najaribu kuwa karibu nae sana tena sana lakini naona mwenzangu hana interest...Sasa wadau mnanishauri nifanye nini??
N.B nahitaji ushauri please sio utani ndugu zangu!
looove stiiinks,
mimi siwezi kukushauri ki lovey dovey kwa sababu si mtaalamu. Uila ma true player for real huwa wana equations zao..
Been in this game for years, it made me an animal,
there's rules to this game, i made me a manual
notorious b.i.g (ten crack commandments)
let
a= time it will take to hit this nookie
b= time it will take to hit other potential nookies
c= opportunity cost of staying with this nookie and missing other nookies
d=desire to settle down (should a player be nearing the end of the game)
then,
let
a= time it will take to hit this nookie
b= time it will take to hit other potential nookies
c= opportunity cost of staying with this nookie and missing other nookies
d=desire to settle down with this nookie (should a player be nearing the end of the game)
under ceteris paribus
if a > b and d < 50% then definitely jump ship and pursue other nookies
if a > b and d > 50% then prepare for a lenghty challenge that may offer a potentially rewarding matrimony
if b > a and d < 50% then hang on and you will soon hit this nookie player
if b > a and d > 50% then hang on and sacrifice even more you will soon hit this nookie and hang up the gloves
habari jamani...nadhani hapa nitapata majibu mazuri na ya maana kuhusu hili swala.....problem ni kwamba hapa nilipo nina demu wa kigambia ambaye nilikutana nae hapa ninapoishi,kukutana tulikokutana ni kwamba sio mimi nilimtongoza bali yeye alikuwa na interest na mimi toka mda mrefu sana ila alikuwa anashindwa kuniambia saa zingine tukikutana face to face huwa ananichekea na kuniuliza maswali tofauti ila nilikuwa sijajua zaidi sasa ikafikia kipindi akamuuliza rafiki yangu kuhusu mimi tabia yangu na nipoje....sasa siku nipo break baada ya kazi akanikuta nimekaa mahali akaanza kuniuliza wapi nimetokea i mean nchi gani vitu kama hivyo....mimi sikumchelewesha pale pale kwa sababu nilishajua nini anataka nikaweka mambo sawa usiku wa hiyo siku nikawasiliana nae kwenye simu nikaongea nae sana na tukafahamiana zaidi na mapenzi yetu yakaanza hapo,sasa kitu ambacho nashindwa kuelewa ni kwamba amebadilika ghafla na tulikuwa tunakwenda out tunafurahi pamoja lakini sasa hivi hataki tena nikimuomba tuonane analeta mambo mengi bora tusionane ...na alivyokuwa na problem mimi nilikuwa mwepesi sana kumsaidia pamoja alikuwa haniombi hela pia yeye bado yupo university na anafanya kazi part-time.sasa katika mazungumzo yangu nimewahi kumgusia kama mara 3 kuhusu mambo fulani nadhani hapo mmeelewa vizuri....sasa sikujua kabisa yeye huwa hapendi hayo mambo na nikajiuliza je mapenzi ni nini?nikashangaa sana sasa akaja kumwambia rafiki yangu kwamba eti mapenzi sio pesa wakati huwa namsaidia muda mwingine hata hela ya bus pass ya kwendea shule au kununulia bidhaa ndogo ndogo huwa anakosa inabidi nitoe nimpe,pia yeye anasema kwamba hatopenda kufanya hicho kitendo kutokana na ex-bf wake alivyomfanya maana alimkamua then akaingia mitini so hatoamini tena wanaume,ila hicho kitendo hajakataa kufanya atafanya lakini mpaka atakapo niona msimamo wangu upo vipi, alianza kunibadilikia simu akawa hapigi tena,messeg hatumi tena na mawasiliano kapunguza kabisa ila sikujua zaidi problem ni nini mpaka baada ya kusikia kwa rafiki yangu ndio nikajua..pia nilivyomuona yupo vile nilimuuliza whats wrong lakini akasema ohh hamna kitu.sasa mimi nikamuomba msamaha kwa sababu kwanza nampenda na ametulia sana nikawambia kwamba nipo tayari kuwa na wewe bila hicho kitendo ila naona mwenzangu bado kama hahitaji mawasiliano na mimi na hata nikimtumia messeg hata 15 kwa siku basi atajibu 2 au 1 na ukiangalia hapo anasimu ya contract sasa wadau mnanishauri vipi??niachie ngazi pamoja nitaumia au nimshaurije mwenzangu aweze kurudi katika hali ya kawaida kama zamani?maana najaribu kuwa karibu nae sana tena sana lakini naona mwenzangu hana interest...sasa wadau mnanishauri nifanye nini??
N.b nahitaji ushauri please sio utani ndugu zangu!
wewe huwajui wa west?hapo anakuweka sawa akutengeneze chapa mwendo kabla ya hatari,yani wewe unakula mtego halafu unazubaa?shauri yako hamna penzi hapo ooh!Habari jamani...Nadhani hapa nitapata majibu mazuri na ya maana kuhusu hili swala.....Problem ni kwamba hapa nilipo nina demu wa kigambia ambaye nilikutana nae hapa ninapoishi,kukutana tulikokutana ni kwamba sio mimi nilimtongoza bali yeye alikuwa na interest na mimi toka mda mrefu sana ila alikuwa anashindwa kuniambia saa zingine tukikutana face to face huwa ananichekea na kuniuliza maswali tofauti ila nilikuwa sijajua zaidi sasa ikafikia kipindi akamuuliza rafiki yangu kuhusu mimi tabia yangu na nipoje....sasa siku nipo break baada ya kazi akanikuta nimekaa mahali akaanza kuniuliza wapi nimetokea I mean nchi gani vitu kama hivyo....Mimi sikumchelewesha pale pale kwa sababu nilishajua nini anataka nikaweka mambo sawa usiku wa hiyo siku nikawasiliana nae kwenye simu nikaongea nae sana na tukafahamiana zaidi na mapenzi yetu yakaanza hapo,Sasa kitu ambacho nashindwa kuelewa ni kwamba amebadilika ghafla na tulikuwa tunakwenda out tunafurahi pamoja lakini sasa hivi hataki tena nikimuomba tuonane analeta mambo mengi bora tusionane ...Na alivyokuwa na problem mimi nilikuwa mwepesi sana kumsaidia pamoja alikuwa haniombi hela pia yeye bado yupo university na anafanya kazi part-time.Sasa katika mazungumzo yangu nimewahi kumgusia kama mara 3 kuhusu mambo fulani nadhani hapo mmeelewa vizuri....Sasa sikujua kabisa yeye huwa hapendi hayo mambo na nikajiuliza je mapenzi ni nini?Nikashangaa sana sasa akaja kumwambia rafiki yangu kwamba eti mapenzi sio pesa wakati huwa namsaidia muda mwingine hata hela ya bus pass ya kwendea shule au kununulia bidhaa ndogo ndogo huwa anakosa inabidi nitoe nimpe,pia yeye anasema kwamba hatopenda kufanya hicho kitendo kutokana na ex-bf wake alivyomfanya maana alimkamua then akaingia mitini so hatoamini tena wanaume,ila hicho kitendo hajakataa kufanya atafanya lakini mpaka atakapo niona msimamo wangu upo vipi, alianza kunibadilikia simu akawa hapigi tena,messeg hatumi tena na mawasiliano kapunguza kabisa ila sikujua zaidi problem ni nini mpaka baada ya kusikia kwa rafiki yangu ndio nikajua..Pia nilivyomuona yupo vile nilimuuliza whats wrong lakini akasema ohh hamna kitu.Sasa mimi nikamuomba msamaha kwa sababu kwanza nampenda na ametulia sana nikawambia kwamba nipo tayari kuwa na wewe bila hicho kitendo ila naona mwenzangu bado kama hahitaji mawasiliano na mimi na hata nikimtumia messeg hata 15 kwa siku basi atajibu 2 au 1 na ukiangalia hapo anasimu ya contract sasa wadau mnanishauri vipi??Niachie ngazi pamoja nitaumia au nimshaurije mwenzangu aweze kurudi katika hali ya kawaida kama zamani?Maana najaribu kuwa karibu nae sana tena sana lakini naona mwenzangu hana interest...Sasa wadau mnanishauri nifanye nini??
N.B nahitaji ushauri please sio utani ndugu zangu!
Totoz za bongo hazina hizo, kwani huku kuna nini kaka? Mateso yote ya nini? Come home chukua jiko anza mbele ! Ughaibuni tuahangaikia dolari , euoro na paundi sio totoz!
Bwana mdogo huyo demu atakuumiza kichwa mpaka ushindwe kufanya vitu vya maana.
- Hapa inaonesha huyu demu alikuwa anakuelewa vingine na jinsi alivyokuja kukujua vizuri. Hiyo imemtoa hamu kabisa ya kuwa na wewe. Alikuwa anakuona na alikuwa anakutamani lakini jinsi ulivyo si vile yeye anavyotaka rafiki yake wa kiume awe na hayo amekuja kuyajua baada ya kuwa karibu na wewe kwa muda mfupi.
Kwa ushauri wangu achana naye. Alikuja kwako mwenyewe na kaondoka mwenyewe, kwanini upate shida?. Kumpenda isiwe shida, vumilia na utasahau na bila shaka atatokea mwenye kukupenda kama ulivyo.