Msaada wa huyu mwenzangu please!!



Mkubwa nadhani hapa kuna point ambazo nipo nazifanya mpaka sasa..Ni kweli kabisa huwa namtumia messeg nyingi sana na simu huwa nampigia sana,ila nashukuru sana mkubwa kwa mawazo yako na nimekuelewa vizuri sana mkubwa nadhani huo ushauri nitaufanya kuanzia kesho na nadhani mambo yatakuwa sawa tu....Pia kuhusu tunda niliona yeye ameshatokwa na hiyo kitu na hapendelei kabisa ndio maana mimi nikamuwahi kumtaka radhi au sio mkubwa,ila nimekuelewa kaka na nashukuru sana nadhani huo ushauri utawork vizuri sana!
 
Mmhh! Hilo nalo neno. Nadhani ndugu Papizo unaweza kulifanyia kazi. Ni kwasababu anajua anachokifanya!! Habahatishi.



Thanks mkubwa nadhani ameona kwamba nampenda sana ndio maana ananichezea akili...Mapenzi sio mchezo kwa kweli!!
 
Demu ana misi huyo (kama pajero ya xpin)..........tambaa, tulia ukirudi bongo utawakuta wa ukweli


Thanks mkubwa ushauri wako pia mzuri..Ni kweli bongo kuna mademu waliotulia sana.....ila pia nitafikiria kuhusu hilo swala kaka
 


Thanks Mama mia...Kwa kweli hatujafikia kufanya hicho kitendo sema mimi ndio nilimgusia toka hiyo siku nikamuona kanibadilikia kabisa,So nikashangaa zaidi angekuwa amenipa ningesema kwamba nilichemka game ila hajanipa bado,
 


Thanks mkubwa nadhani mawazo mazuri nimeshapata hapa na nategemea kila wazo kati ya yote niliyopata yamenisaidia sana..Asante sana mkubwa na mimi nitafanya hivyo maana naona ameona nampenda sana na namjali sana ndio maana ananichezea akila ila nashukuru mkubwa wazo lako zuri
 


Thanks mtaalam mwenyewe nimekupata vizuri kaka.Nadhani nitaupitia kwa makini na utanisaidia pia!!
 
ushauri sahihi ni huu..
Umekuwa too nice kwake na hivyo..
Umeua kabisa atraction aliyokuwa nayo kabla..
Cha kufanya kuwa bize na ikiwezekana tafuta
mrembo mwingine na ujifanye umemsahau...
Kwa ufupi jifanye aghali kwake,
play the game.


Thanks mkubwa ujumbe nimeupata,Nadhani hiyo ndio next step ni kweli nimemfanyia mambo mengi ya kumjali na kumuonyesha kiasi nampenda lakini ndio anafanya hivyo sasa hivi,nadhani ameniona kwamba siwezi kubadilika hata kidogo.Thanks mkubwa majibu yatakujia kitakachokuwa wala usijali kaka!
 


Thanks mkubwa ujumbe nimeupata vizuri sana na nimekuelewa mkubwa,Duu kaka kama mke wa kuoa nitaenda kumtafuta bongo nataka nione kutoka kwenye ncho yangu sio wagambia wala nchi yoyote ile,Mkubwa nadhani umeshawa note hawa mademu wa huku,ila aminia mkubwa ushauri wako nimeuelewa vizuri sana na nashukuru sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…