jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Yapi unapingana nayo na na yapi unayakubali..........?nipe The boldKwa mujibu wa biblia;
1. Yesu ni Mungu
Soma Yohana 1
2. Yesu ni moja ya Nafsi tatu za Mungu (Mwana) nafsi nyingine ni Roho na Baba.
3. Yesu ni Mzaliwa wa Kwanza wa Viumbe vyote.
4. Yesu ni "Kuhani Mkuu" katika hekalu la kiroho mbinguni (Melkizedeki).
Soma kitabu cha Waebrania
5. Yesu ni Nabii (alipokuwa katika mwili alifanya kazi za kinabii)
Kwa mujibu wa Biblia sio mimi, binafsi nakubaliana na baadhi na napingana na baadhi.!
Yeye ni Mungu aliyeshuka duniani kwa namna ya kibinadamu. roho wa Mungu mwenyewe alishuka na kuingia kwenye mwili wa mwanadamu ili awe mtu alipe garama ya dhambi zako na zangu kwa kuusulubisha mwili , alijifanya kufanana nasisi wenye miili kama huo wa kwako ili ayadhukue madhaifu yetu yote ya mwili na roho. kwahiyo, ni Mungu yuleyule katika nafsi ya roho iliyoingia kwenye mwili, hivyo ni Mungu. he came to proclaim the salvation message which you ought to accept NOW!Habari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
..haupo serious,hili ni swali la nne nakujibu and u haven't Told me who the First Musilm was mpka sasa Ivi!!!So why mnaingia kwa church with shoes isnt it a holy place?
Heheheh hapo sasa [emoji23] [emoji23]..Tatizo Mkuu unatumia akili Yako kuelewa Biblia this Is not the Quran ambayo mnakariri You have to understand the LOGIC let me Digest It for You!!!!
That is, the field was acquired indirectly by Judas, through the agency of the chief priests. As Matt. 27:3–7 records, Judas brought the 30 pieces of silver back to the chief priests and elders. The chief priests then purchased the potter’s field with Judas’s money, with the same effect as if Judas had himself made the purchase.
Mfano,Ukimtuma mtoto dukani nyote wawili mnafanya Purchaising,aliyeenda kununua anafanya physical purchaising alietoa Hela anafanya Financial purchaising maana ametoa Hela,Hope u have fathomed the Meaning already!
Nimeshakujibu landa husomi post zako. Nimekwambia Muislamu ni Mtu Ambae ana submit to the will of God. kila mitume waliokuja kueneza Ujumbe wa Mungu waliomuamini wanakua wameamini. Ndio maana hayo maandiko uliyoyawek yote yana zama tofauti na kila zama zilikua na watu wake wa kipindi kile ambao walikubali ujumbe huo. [emoji23] [emoji23]..haupo serious,hili ni swali la nne nakujibu and u haven't Told me who the First Musilm was mpka sasa Ivi!!!
Hebu nikuulize baba yake na Adam ni nani? Maana yeye hakuzaliwa kabisa . Kama unachukulia ukuu wa yesu kwa sababu ana mama na hana baba. Basi Adamu ni mkuu zaidi maana hana baba wala mama [emoji23]Kazaliwa na mariam bila kupewa mimba na binadamu yeyote. Ipo kwenye kuruani. Sasa kama wewe muislam jiulize kuruani inasema baba yake nani?
Kama hata gazeti mtu anasoma na kuelewa nimekuuliza kwanini Mungu afanye biblia iwe ngumu? Au hataki watu wakafaulu? Maneno yako wazi na hayahitaji uelezewe acha kujichanganya...Like I said Mkuu Bible sio novel,thats where the Holy spirit comes In na Biblia Inategemean It is “here a little, and there a little.” This is why Paul said we must “rightly divide the truth” (II Tim. 2:15) sasa acha kuleta Hoja zako ulozokaririshwa huko kuJudge Biblia and u understand nothing tulia usomeshwe
Je unajua Yesu ana Mkuu wake? Ambae ana mamlaka kuliko yeye?Yeye ni Mungu aliyeshuka duniani kwa namna ya kibinadamu. roho wa Mungu mwenyewe alishuka na kuingia kwenye mwili wa mwanadamu ili awe mtu alipe garama ya dhambi zako na zangu kwa kuusulubisha mwili , alijifanya kufanana nasisi wenye miili kama huo wa kwako ili ayadhukue madhaifu yetu yote ya mwili na roho. kwahiyo, ni Mungu yuleyule katika nafsi ya roho iliyoingia kwenye mwili, hivyo ni Mungu. he came to proclaim the salvation message which you ought to accept NOW!
The salvation message is simple. We are and were separated from God because of sin. In our flesh is nothing is good, We are all sinners. God sent his only begotten son (we call him a son because he came and born a male human being, otherwise we would have called him a spirit) a sinless, perfect sacrifice to fulfill the law. Fully man yet fully God.
Jesus Christ died for your sins and took your place/punishment on the cross so you could be reconnected, otherwise each one of us would have to suffer punishment for the sins he commit, but now, sins are wiped away through Jesus Christ (Mwana wa Mungu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani). His blood washes you clean of all unrighteousness. You'll get to have a personal relationship with Jesus Christ. He took the wrath that we deserve and gave mankind a way to eternal life.
You have free will to accept the free gift of salvation or continue on the path to destruction/hell fire. God made the biggest sacrifice for you......
He's knocking, will you accept Jesus Christ? Between you and God, start by humbling yourself. With a heart wanting a changed life and all truth. Only God knows your heart and if you're genuine. Cry out to God in a broken repentant state and put your faith in Jesus Christ. then say these words:
"Heavenly Father, have mercy on me. I'm a sinner deserving of hell. I can't save myself. I want to turn from my past, I want a changed life and I know only you can help me. I put all my faith in Jesus Christ and his sacrifice and I pray for all truth no matter the cost. Please save me and lead me into all truth. In the name of Jesus Christ amen"
Luke 5:31-32King James Version (KJV) 31 And Jesus answering said unto them, They that are whole need not a physician; but they that are sick. 32 I came not to call the righteous, but sinners to repentance.
Kama umepata post niliyokujibu then nipe sasa jibu kwanini unaingia kanisani na viatu je hilo sio eneo takatifu...haupo serious,hili ni swali la nne nakujibu and u haven't Told me who the First Musilm was mpka sasa Ivi!!!
Kwahiyo tuseme Mungu alimuumba mwana wa MunguNdio kitu cha pili kuexist baada ya Mungu! Au kwa lugha nyepesi isiyo rasmi twaweza kusema Mungu alimuumba kwanza kabla ya vitu vingine vyote ndio maana anaitwa "Mzaliwa wa Kwanza" wa viumbe vyote..
..Mkuu Huelewi Fungu,baada Ya Yuda kujinyonga they purchaised the place baada ya yeye kujinyonga Mfano ukajinyongee shambani kwetu alafu sisi tuuze lile shamba kwa ukoo wenu kwa hela!Heheheh hapo sasa [emoji23] [emoji23]
Yaani pesa alizitupa akaenda kujinyonga. Iko wazi baada tu ya kutupa hela akaenda akajinyonga. Sasa wale makuhani walinunua shamba hapo hapo? Na baada ya kulinunua wakamwambia Yuda aende kwenye lile shamba akajinyonge? Mbona unajikoroga boss?
YUDA ALINUNUA SHAMBA NA AKIWA KULE SHAMBANI ALIANGUKA AKAPASUKA
YUDA ALIZITUPA SHEKALI HEKALUNI AKAENDA AKAJINYONGA.
labda hujaelewa vizuri.[emoji23] [emoji23]
Nimeuliza pesa alizifanyia nini?
Alizitupa au alinunua shamba?
Usilete stori za watoto hapa kwamba wale makuhani ndio walimnunulia shamba [emoji23] sijui aliwaambia wamnunulie [emoji23] [emoji23]
..kwaio Mkuu hamna wa kwanza si ndio???[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshakujibu landa husomi post zako. Nimekwambia Muislamu ni Mtu Ambae ana submit to the will of God. kila mitume waliokuja kueneza Ujumbe wa Mungu waliomuamini wanakua wameamini. Ndio maana hayo maandiko uliyoyawek yote yana zama tofauti na kila zama zilikua na watu wake wa kipindi kile ambao walikubali ujumbe huo. [emoji23] [emoji23]
Uko vizuri mkuuKwa harakaharaka
Catholic - Wanaamini katika Trinity(Mungu = Baba +Mwana(Yesu) + Roho Mtakatifu) - Yesu ni Mungu
Wasabato - Wanaamini katika Trinity(Mungu = Baba +Mwana(Yesu) + Roho Mtakatifu) - Yesu ni Mungu
Jehovah Witness - Yesu sio Mungu na kusema Yesu ni Mungu ni kama unakufuru kwao
Wafuasi wa yesu wengine/Walokole/waprotestants baadhi;
1:Yesu ni Mungu huyohuyo katika Utendaji tofauti
2:Wengine Mungu ni Roho na kwa uwezo wake anaweza kuexist katika form mbalimbali kulingana na anavyohitaji
MAONI YANGU.
Yesu ni Mungu lakini kwa anayeamini bibilia nzima iko sahihi na kila neno la kwenye bibilia liliandikwa kwa Uongozi wa Roho mtakatifu na sio mawazo ya watu, Kwa sababu Sifa zote za Mungu Amepewa Yesu katika bibilia. Mchanganyiko utakuja katika kumchambua ni Mungu katika Mfumo upi. Ila aliitwa Imanuel yaani Mungu pamoja na Wanadamu.
Mchanganyiko mwingine unakuja Anapozaliwa katika umbile la wanadamu hiyo sayansi ndio kwa finite mind zetu inashindwa kuingia akilini mwa wengi sio sisi tu hata wale Mafarisayo hawakumuelewa alipwaambia kuwa Alikuwepo kabla hata baba yao Ibrahimu Ajazaliwa. Wakataka kumponda mawe maana upeo wao ulikuwa ni kuwa yesu mwana wa Yusufu na Mariam na sio Aliyekuwepo hata kabla ya kuwekwa misingi ya Ulimwengu.
Nakubali changamoto katika maoni yangu
aliongea hayo kwa namna ya kibinadamu kipindi alichokuwa amevaa mwili wa mwanadamu (ila roho ya Mungu), mwanadamu ana sehemu kuu tatu, mwili nafsi na roho, na Mungu naye ana roho, nafsi, mwili hana ila kipindi kile alivaa mwili ili achukuliane na sisi tulio katika mwili. hivyo yesu kwasababu sasaivi hana mwili tena, ni Mungu yuleyule ndio maana alisema mimi na baba tu umoja yaani ni kama mwili mmoja tu katika roho. hivyo, kama ni swali kama hilo lako, ni sawa na kuniuliza kwamba "unajua moyo una mkuu wake mwingine aliye juu yake na aliye na mamlaka juu yake?//.....ambao sijui utasema ni akil au ubongo au chochote utakachoamua kusema. soma hayo niliyokuambia hapo juu, kama hautasoma, nyamaza kimya subiri jehanum. bye.Je unajua Yesu ana Mkuu wake? Ambae ana mamlaka kuliko yeye?
..we are sin oriented,nature Yetu ipo opposite na Mapenzi Ya Mungu henceforth our understanding too mfano unavyofikiria wewe thats why we need a mediator which is the Holy spirit that revealed and inspired the prophets to write what they wrote ILI kuyaelewa ILA maneno ya Mungu sio magumuKama hata gazeti mtu anasoma na kuelewa nimekuuliza kwanini Mungu afanye biblia iwe ngumu? Au hataki watu wakafaulu? Maneno yako wazi na hayahitaji uelezewe acha kujichanganya.
eneo takatifu ni moyo kaka. mwili hauna utakatifu wowote, ndio maana una hadi kinyeshi kwenye mwili, hata ukioga vipi, utupu wako wa haja kubwa bado utanuka tu na huwa unaingia nao msikitini hivyohivyo (au huwa unaacha nje)...Mungu anaangalia moyo. haya mengine ya kuvaa vizuri etc ni principles za Godly morals alizotupatia ila ukisema usiingie kanisani na viatu ati utachafua hekalu/mahali pa kusalia,...ibada ipo moyoni. na moyo ndio chanzo cha uchafu wote unaouona duniani au uzuri wote unaouona duniani. ninyi mwafuata mwili na kutafuta Mungu kimwili ndio maana mmepotea na kupokea mafundisho ya uongo na ya kupotosha ambayo hauhitaji malaika atoke mbinguni akwambie ni ya kishetani, hata mtu asiyeenda shule ataelewa.Kama umepata post niliyokujibu then nipe sasa jibu kwanini unaingia kanisani na viatu je hilo sio eneo takatifu.
Hebu nikuulize baba yake na Adam ni nani? Maana yeye hakuzaliwa kabisa . Kama unachukulia ukuu wa yesu kwa sababu ana mama na hana baba. Basi Adamu ni mkuu zaidi maana hana baba wala mama [emoji23]