Mr coffee
Member
- Mar 12, 2018
- 74
- 34
Habari Ndg. wana Jff.
.
.
.
.
Kama kichwa tajwa hapo juu cha mada, Mimi ni mjasiriamali ambaye nalenga ufunguzi wa duka la pembejeo za mifugo.
Hivyo niko mbele yenu kuhitaji msaada wa jina ambalo litakuwa ZURI na lenye mvuto wa kuhakisi biashara yangu ambayo nalenga kuifungua .
.
.
.
.
Niko teyari kupokea, maoni yenu..
Asanteni....
.
.
.
.
Kama kichwa tajwa hapo juu cha mada, Mimi ni mjasiriamali ambaye nalenga ufunguzi wa duka la pembejeo za mifugo.
Hivyo niko mbele yenu kuhitaji msaada wa jina ambalo litakuwa ZURI na lenye mvuto wa kuhakisi biashara yangu ambayo nalenga kuifungua .
.
.
.
.
Niko teyari kupokea, maoni yenu..
Asanteni....