Exactly! Ila bei za Trust zipo njema,na Pia inspection report zao zipo wazi;Ila kama mtu mfuko wake upo Poa ni the best huwez fananisha na kampuni kama Sbt,befoward and the likes.Kampuni inayouza magari premium inaitwa japanesevehicles.com hao beforward wanasubiri..jamaa wanajiita trust company limites..
Wakati nakua mzee wangu alikua anaagiza magari kampuni hio ila bei zao zimesimama sana na wanachaji hadi funguo ya ziada yani unaona gari imetumika lakini ni safi sana..hapa nilipo natumia gari ya urithi ina miaka 10 ilinunuliwa huko huko trust..Exactly! Ila bei za Trust zipo njema,na Pia inspection report zao zipo wazi;Ila kama mtu mfuko wake upo Poa ni the best huwez fananisha na kampuni kama Sbt,befoward and the likes.
Bila kitambulisho na picha ya mmiliki anaesoma kwenye kadi hii ngoma in ngumu itabidi afuate maagizo yako.
[/QU
Ni kweli mkuu! sina ujanja inabidi tukapige magoti kwa mmiliki wa kwanza
Dalali haaminiki kusema ule ukweliAnd Still hapa bongo;kuna watu wanauza magari bora na magari problematic;Therefore tafuta fundi makini hata kama ni wa gharama usijalishe;asiwe tu ni just fundi otherwise you are finish! My first rule sikuzote kwenye maisha yangu-huwa simwamini dalali kwa maneno na sikuzote simpi nafasi ya ku ni manipulate akili yangu;na nikishaona hanipi nafasi ya ku judge mwenyewe hata kama kitu ni kizuri mno huwa sinunui tena;In school we were taught that sometimes advirtsement are misleading na hapo ndo matatizo yanapoanziaga;Hopeful kila mmoja she strategy yake binafsi anapokutana na madalali au wauza vitu
Duh mie pia nna shida hio hio sema sijahangaika nayo tu.Dawa ni wewe kumtafuta 'bwege' mwingine na kumuuzia kwa staili uliyouziwa wewe
next time nunua gari isiyo na shida
ndo nilichokifanya mimi nilipojikuta kama wewe na mmiliki wa mwanzo hapatikani
Ukimpata mmiliki wa kwanza una bypass ila lazma uwapooze ma vehicle.Watu wengi hapo juu wamekueleza kwa lugha ya nyepesi na uongo kidogo.Nikuambie tu ukweli mkuu wewe ni mzembe kweli kweli!huwezi kuuziwa gari na mtu asiye mmiliki(aliyekuuzia bado hakuwa mmiliki),Pili hukwenda kuthibitisha usalama na uhalali wa hilo gari TRA,
tatu nikuhakikishie tu kwamba hutabadili kirahisi Kama walivyokushauri wengine.hiyo gari imeshakwepa transfer fee Mara moja,ukienda na mikataba hiyo miwili utalazimika kulipa zote mbili na penalty ya hiyo moja.
Huo Ndio ukweli japo unaumiza.
Bila kitambulisho na picha ya mmiliki anaesoma kwenye kadi hii ngoma in ngumu itabidi afuate maagizo yako.
Then what happened next. Mkafanyaje kumaliza tatizo. Mlihonga?Kuna mwamba tulimuuzia escudo ila shida ikaja yule mmiliki wa kwanza hapatikani. Uchawi ulianzia hapo 😂😂😂
How long adhabu ya kuchelewa kubadili jina inaanza kufanya kazi. After 6 months, year?Tafuta mwanasheria muamdikishaane mkataba Kama mmiliki wa kwanza ndio amekuuzia wewe.
Uhii, itakusaidia kuokoa adhabu ya kuchelewesha kubadili jina
Aaaaah wale jamaa ni kiboko. Hawavumi kama beforward ila wanagari used zenye standards na uafadhali wa hali ya juu.Kampuni inayouza magari premium inaitwa japanesevehicles.com hao beforward wanasubiri..jamaa wanajiita trust company limites..
Mi nilijiengua kwenye huo msala. Nshakula kipande changu nikapita hivi.Then what happened next. Mkafanyaje kumaliza tatizo. Mlihonga?
Uongo!Gari ni kesi inayotembea....
Unanunuaje gari kwa mtu huendi kwenye vyombo husika kuhakikisha umiliki wake kama ni wa halali...? hata kama uneuziwa elfu 30...kwa nini usiende TRA na kwa Vehicle inspector kujua uhalali wa gari..?
Au ikute liliwahi kufanya matukio ya ujambazi, liligonga mtu akafa na mengineyo meengi...
Nina rafiki yangu alinunua Carina TI kwa mtu Dar akaja nayo Arusha, kaendesha wiki mbili tu wazee wa kazi wakampiga ngeta..[emoji41][emoji41]
Kumbe gari liliwahi kufanya uhalifu mkoa fulani, likakimbiziwa Dar, Likauzwa Arusha...kesi ya gari ilikuwa ni mbaya sana
Wazee wa kazi walimpa kauli moja tu, "unaachia gari au tuondoke wote"
Jamaa akakubali yaishe, gari likaondoka na hakurudishiwa hata mia....Mmiliki halali akaenda kutafutwa akajibu mashtaka yake.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikulazimishi kuamini kwa sababu hukuwepo wakati tukio linatokea...Uongo!
Mafundi wenyewe unamfinyia chake shughuli inaishaDalali haaminiki kusema ule ukweli
Wao watajuaje umechelewa kubadili jina?How long adhabu ya kuchelewa kubadili jina inaanza kufanya kazi. After 6 months, year?
Yaani mfano nimenunua gari/pikipiki leo kwa mtu. Naanza kupewa adhabu kuanzia leo au baada ya muda gani?