Mi mvivu kuandika but ntajitajitahidi,kwanza kabisa changanya maji kiasi na chumvi halafu anika juani,zinapoendkea kukauka washa jiko lako la mkaa,nunua chumvi ile ya 500 kama kwa kg 1 au moja na busy,Kama zaidi ya hapo nunua pakti 2,karanga zikikauka is chumvi katika sufuria kulingana na wingi wa karanga,iache chumvi ipate Moto.Ikishakua ya Moto weka karanga zako endelea kuzigeuza ukiwa umeshika sufuria huku na huku,zitaanza kubadilika rangi kuwa nyekundu pia uliaji wake unabadilika kulingana na jinsi zinavoendelea kuiva ,utaonja utapoona umeridhika unavoonja basi zitakuwa tayari kwa kuuzwa,chumvi acha ipoe itunze utatumia wakati mwingine.NIMEWEZA NADHANI,USIPOELEWA KARIBU UNIULIZE.