Msaada wa jinsi ya kuunganisha TTCL internet

mfukunyunzi

Senior Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
142
Reaction score
26
Naomba msaada wa kujiunganishia internet ya TTCL kuna waya wao wa simu upo ndani nyumbani. Je ninahitaji vifaa gani vingine ili kuweza kujipatia huduma za internet kwenye kompyuta yangu? Naomba mnijulishe tafadhali ili nikavitafute ili nami nijipatie huduma ya internet.
Natanguliza shukrani.
 
Mkuu, huwezi ukajiunganishia mwenyewe, kwanza unahitaki kuwa na modem ya DSL, then uende TTCL office ukajaze fomu za maombi ya kuunganishiwa internet. Pia kumbuka line yako ya simu kwa sasa haiko activated kwenye internet hivyo lazima ukawaone kwanza.
 

kwa hiyo una maanisha kuwa internet za ttcl hazichakachuliki?
 
Customer care ndo solution ndugu.. Just go na utapata maelezo yote na mbona wanazo modem na wanatoa unlimited bundles unalipia muda na siyo data ambazo utatumia ndugu? jaribu modem zao utaenjoy.

ok, mkuu nitaenda kuwachek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…